Wajua jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga mizinga?

b.we.ge kabisa,kwanini usiwaambie unaogopa nin,unajiskiaje mwenzio anashida alafu wewe unafuja hela kwenye pombe na kuhonga wanawake?je kama umeona hana kazi kwanini usimfundishe kuvua samaki pale anapokuja kuomba samaki?acha ubinafsi,hapo ulipofika kunawatu walijinyima kwa namna moja au nyingine hadi ukawa hapo ulipo.upo hapo kwa neema ya Mungu si kwa uwezo wako.shen..zi kabisa.alafu siku nyingine usilete pumba zako hapa chitchat.kumbuka
BLASSED IS THE HAND THAT GIVES THAN THE ONE THAT TAKES- by Luck dube
Uuuuwiiii!! umeniacha hoi!!!! MKATA KIU ni heri ukamwambia mtu ukweli kulliko kumpa anachotaka afu ukakereka moyoni yani hata kwa mungu haifai!! tenah bora umnyime mtu anachotaka ukampa na makavu yake yakimuuma shauri yake!!
jaribu kuwa muwazi ka kitu usichokipenda!!
 
Last edited by a moderator:
uuuuwiiii!! umeniacha hoi!!!! MKATA KIU ni heri ukamwambia mtu ukweli kulliko kumpa anachotaka afu ukakereka moyoni yani hata kwa mungu haifai!! tenah bora umnyime mtu anachotaka ukampa na makavu yake yakimuuma shauri yake!!
jaribu kuwa muwazi ka kitu usichokipenda!!
Kaniudhi sana jamaa! Hawa ndio wakiwa kivulini wanawasahau walio kwenye jua,kama we fisadi maisha yako ndio yatakua mazuri,na maisha mazur hayafichiki,kama unaonekana mambo safi razima tukuombe.yaani umeniboa kileta uhalo wako hapa chichat
 
Last edited by a moderator:
kaniudhi sana jamaa!hawa ndio wakiwa kivulini wanawasahau walio kwenye jua,kama we fisadi maisha yako ndio yatakua mazuri,na maisha mazur hayafichiki,kama unaonekana mambo safi razima tukuombe.yaani umeniboa kileta uhalo wako hapa chichat
Watu wengine wanatoa wapate masifa kwamba wanazo lakini moyoni vnawauma!! hyo ni rohombaya tu!!
 
Sidhani kama umekata kiu yako! Ni vyema ukaelewa kwamba si kila mtu atakuelewa kwamba huna pesa, ni vizuri ukamwambia unakerwa na tabia yake ya kukuomba pesa kuliko kumpa alafu unaumia roho kwa kweli hauji tendei haki.

NB: si wote wanapenda kuomba omba.
Pole sana mkuu kwa yaliyo kukuta furahi na wana chitchat kuondokana na stress.

Ngoja nimwambie Baby wangu Madame B akuletee coca baridi upunguze hasira au akupe vidonge vya Aspirin!
 
watu wengine wanatoa wapate masifa kwamba wanazo lakini moyoni vnawauma!! hyo ni rohombaya tu!!

Tena roho inasura mbaya kwa bungeni unaweza sema ni pinda ama wasira,..ukimkuta anahonga mademu na kujidunga mapombe utazan kanazo kumbu kananjaa kali,ukikaomba kanajaa upepo alafu akakuambii kanakimbilia JF
 
Sidhani kama umekata kiu yako! Ni vyema ukaelewa kwamba si kila mtu atakuelewa kwamba huna pesa, ni vizuri ukamwambia unakerwa na tabia yake ya kukuomba pesa kuliko kumpa alafu unaumia roho kwa kweli hauji tendei haki.

NB: si wote wanapenda kuomba omba.
Pole sana mkuu kwa yaliyo kukuta furahi na wana chitchat kuondokana na stress.

Ngoja nimwambie Baby wangu Madame B akuletee coca baridi upunguze hasira au akupe vidonge vya Aspirin!

Ha,ha, kwa ninavyomjua Madame B kuna hatari akamtengea kalai la sumu,ngoja aje uone
 
Last edited by a moderator:
tena roho inasura mbaya kwa bungeni unaweza sema ni pinda ama wasira,..ukimkuta anahonga mademu na kujidunga mapombe utazan kanazo kumbu kananjaa kali,ukikaomba kanajaa upepo alafu akakuambii kanakimbilia jf
Hahahahahahhahaha!!!!!! khaaaa! umenfurahsha aisee!! pinda na wasira!!
 
Jamani mbona mnanisimanga? Mi ni bonge la mpiga mizinga. Kila siku napiga magoti, nampiga Mungu mizinga naye ananipa.
Mathayo 7:7
Ombeni nanyi mtapewa

ha,ha,ha,... Bujibuji hata mwizi naye anampiga mzinga sir God,watu wote tunampiga mziga kakini yeye alalamiki!ngoja si tupigwe mizinga tunaanza uroporopo
 
Last edited by a moderator:
Inategemea jamai kuna mwingine akikuipiga mzinga unajua kabisa amekwama.....

Kuna mwingine hana kazi maalum, riziki yake iko miguuni mwake huyu akikosa akakupiga mzinga unamwelewa...

Kuna mwingine hata awe na milioni mkononi atakupiga mzinga.....

Halafu tuchukue mfano wa mleta mada, mmekutana harusini, tena usikute arusi sio ya ndugu jamaa tu ambaye kila mmoja kaja kivyake kwa taratibu zake hakuna alojua kama atamuona mwenzie, akikuona anataka akupige mzinga, 'eti atarudije!'.... Mwambie utarudi kama ulivyokuja...

Tisa kumi mwingine ana kazi/biashara si ajabu anapata kuliko wewe halafu kutwa mizinga, hela yake alewee au ajengee yako atumie loh.....
 
Inategemea jamai kuna mwingine akikuipiga mzinga unajua kabisa amekwama.....

Kuna mwingine hana kazi maalum, riziki yake iko miguuni mwake huyu akikosa akakupiga mzinga unamwelewa...

Kuna mwingine hata awe na milioni mkononi atakupiga mzinga.....

Halafu tuchukue mfano wa mleta mada, mmekutana harusini, tena usikute arusi sio ya ndugu jamaa tu ambaye kila mmoja kaja kivyake kwa taratibu zake hakuna alojua kama atamuona mwenzie, akikuona anataka akupige mzinga, 'eti atarudije!'.... Mwambie utarudi kama ulivyokuja...

Tisa kumi mwingine ana kazi/biashara si ajabu anapata kuliko wewe halafu kutwa mizinga, hela yake alewee au ajengee yako atumie loh.....

Wife njoo tulale. Mi nshavua....
 
Inategemea jamai kuna mwingine akikuipiga mzinga unajua kabisa amekwama.....

Kuna mwingine hana kazi maalum, riziki yake iko miguuni mwake huyu akikosa akakupiga mzinga unamwelewa...

Kuna mwingine hata awe na milioni mkononi atakupiga mzinga.....
@BADILI TABIA ninachosema mimi kwa nin usimwambie direct?alafu kumbuka shida hazina tabia unaweza ukapiga mzinga hata mti chezeya shida wewe,alafu kuna emegency kama za kukutana mahala,kwanza ujue mpaka mtu anakuja kukulia shida ujue amekuthamin na kukuheshimu,haifai kutuponda tusiokuanavyo.
 
Kuna kasichana humu ni kapiga mizinga balaa. Halafu ni kaongo sijapata kuona.

Wee utaombaje watu hela ambao hata huwajui? Fanya kazi, acha uvivu.
 
Tatizo nyinyi hamjakutana nao, mtu ana kipato kikubwa kuliko wewe na bado akikuona anakupiga mzinga, mwingine unakuta mvivu kujishughulisha hata ukimtuma kitu tu analalalamika mbaya, ukimpa michongo anaiponda but at the end of the day akikuona tu anakupiga mzinga na ukimnyima tu stories zinaanza ooh dogo mbaya, hayo mambo mi siyapend, ni bora utoe kwa mtu mzima au mshkaj unaejua jamaa mchakarikaji sema mishe tu zimemuendea vibaya kuliko kupigwa mzinga na mzembe mzembe anaeshinda kijiweni kubishana manchester united kutwa nzima
 
Back
Top Bottom