ni mwez wa3 tangu nilipokutana na huyu dem bt tatzo ni tabia yake ya kupiga mizinga ndyo inayoniboa,,mwanzon nilidhan ni jambo la kawaida ila kwa sasa imekuwa 2much.....naomba ushauri wana jf
mizinga ya konyagi.mizinga gani mnayozungumzia?
ni mwez wa3 tangu nilipokutana na huyu dem bt tatzo ni tabia yake ya kupiga mizinga ndyo inayoniboa,,mwanzon nilidhan ni jambo la kawaida ila kwa sasa imekuwa 2much.....naomba ushauri wana jf
Tena hao wanachuo ndio balaa ukiingia kichwakichwa unafilisika.Madem wengine wamezidisha njaaa k yenyewe anatoa kwa manati mizinga kibao tena wachuo ndo balaa anakwambia kala ada wakat anakula ada ukua nae saiz anataka umpe njaa njaa njaaa tu.
Tit for tat is a fair game! Kama na wewe unataka k kila wakati what do u expect? Pole!
ni mwez wa3 tangu nilipokutana na huyu dem bt tatzo ni tabia yake ya kupiga mizinga ndyo inayoniboa,,mwanzon nilidhan ni jambo la kawaida ila kwa sasa imekuwa 2much.....naomba ushauri wana jf