Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
Nafikiri hamjaelewa hapa uislam haukatai tiba bt unapinga tiba ambayo inamshirikisha mungu hivi kama m2 akitibu bila kupromote uwongo nani angekataa sasa huyu babu muongo coz ISSA{A.S} alitibu kwa idhini ya ALLHA 2 huyu kwa mizizi alafu anamsingizia mungu kampa uwezo wakati INJILI inasema kwa uwezo wa mungu utapona basi km ndo kukiri kuwa ukristo ndo umemuwezesha basi wengi we2 tungekuwa HINDU coz kila cku 2naenda kutibiwa india FIGO,MOYO bt hakuna cku ambayo wahindi wamejicfu mungu wao ndo anaponyesha na huyu yahya atabakia kw anapata dhambi kwa kumshirikisha mungu uislam unasema hivyo nakusu uchawi upo kila kona duniani au hujui ilo china upo na c waislam tafuta hoja nyengine NGURUWE WEWE