Jana kulikuwa na mjadala na kuwataka waislam kuacha kwenda liliondo. walisema hio ni dawa ya kiini macho. walisema kama kuna mtu amepowa kwa dawa hiyo ajitokeze waziwazi kabla ya kupoa akiuumwa nini na sasa apime aonyeshe kwamba kama kweli amepoa.
waliwataka waislam kuachana na kabisa dawa hiyo wanayoita ni DECI
waache kwenda kwani kuna aliyewalazimisha kwenda? Babu hana taimu na mtu wala hahitaji mtu, na hao tunaopiga nao kitimoto pale kigogo wakatazwe maana wanasababisha bei ya kitifire ipande . wao waende kwenye ngoma, ramri na madogori huko kuna uponyaji