EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Kumetokea nini mpaka waandamane.
wapambane nao kwa nn?
Wamewanyima wasifanyie jangwani hivyo wakaamisha eneo, sasa tatizo liko wapi?
Kwa taarifa tu baadhi ya balozi zimetoa tahadhari kwa raia wake kuelekea maeneo ya mjini leo! sijui kunani kwakweli.
Magari ya polisi yakiwa na FFU yalikuwa yameuzunguka msikiti wa Kichangani, Magomeni na msikiti wa Mtambani, Kinondoni lakini wameshindwa kuwazuia Waislam kuelekea kidogo chekundu.
.
Kumbe hizo balozi zinathamini sana watu wao eeh? Heri wao maana wana wakuwathamini. Kwetu sisi dhamana yetu ni sisi wenyewe.
.
Kibali cha nini,wacha FFU wasindikize maandamano tena tutawalazimisha watuimbie na nyimbo.Vp wanakibali au kanzu na baraghishia ndio vibali siku hizi?
This is good news! Hakuna pahali polisi wanaweza kuzuia nguvu ya umma. kukusanyika ni haki ya msingi ya wananchi.Magari ya polisi yakiwa na FFU yalikuwa yameuzunguka msikiti wa Kichangani, Magomeni na msikiti wa Mtambani, Kinondoni lakini wameshindwa kuwazuia Waislam kuelekea kidogo chekundu.
Huyo atakuwa mfanyakazi wa ubalozi wa vatican nchini.Kuna raia wa kigeni aliyenipa taarifa hizi namtafuta anipe sababu ya balozi kuwaonya kwenda mjini leo.
Ngoja tuone itakuwaje...