Mchana huu waislam watakutana uwanja wa kidongo chekundu, kwa ajili ya kuonyesha hisia zao za kulaani kitendo cha wamarekan kuandaa filamu ya kumkashifu mtume.
Ikumbukwe kuwa haya si maandamano,ila waislam baada ya sala ya ijumaa watakua pale.
NB:
Katika ulimwengu wa kidemokrasia UVUMILIVU ni msingi muhim sana, kukashfu dini ya mtu si jambo jema, tujadili hoja kwa hoja.
Ikumbukwe kuwa haya si maandamano,ila waislam baada ya sala ya ijumaa watakua pale.
NB:
Katika ulimwengu wa kidemokrasia UVUMILIVU ni msingi muhim sana, kukashfu dini ya mtu si jambo jema, tujadili hoja kwa hoja.