Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Duuuh Moshi inakua lakini kwa TARATIBUUUU
zisipendi ndo nini?Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.
wachaga ni wabaguzi sana na pale moshi kama we sio mchaga ukaanzisha biashara yako nzuri lazima wakufitini ufilisike.wahindi wameshindwa ukabila unafanywa na wachaga mkuu.nina uzoefu na mji huo sana
kumbe we walongi namna hiyo!?anzia leo Itabidi nikuheshimu sana, mkuu janni yupo na anaendelea na biashara ya chauro km kawa, kala bagia kanenepa kama temboMkuu umenikumbusha wahindi wote wa Moshi. Kuna kijiwe flani cha mhindi karibu na jamatini miaka ya 83 na 84 tulikuwa tunanunua sana bagia na kachori. Kunaitwa kwa Janny! Sijui kama yule mhindi bado yupo au keshavuta tayar cuz miaka hiyo alikuwa mzee!
nitajie mfanyabiashara mkubwa ambaye sio mchagga aliefanikiwa akiwa moshi.wachagga ni watu wabaya sana ndio maana hata nyerere aliwalaani
mi naona afadhali kwa sasa kuliko miaka ya 90sDuuuh Moshi inakua lakini kwa TARATIBUUUU
Dah! Kumbe bado yupo!!! Long time sana hiyo ilikuwa. Angel, kwani wewe wa mwaka gani? Mimi nilisoma pale Mawezi PR! Nilikuwa najulikana kama mzee wa Zambezi!kumbe we walongi namna hiyo!?anzia leo Itabidi nikuheshimu sana, mkuu janni yupo na anaendelea na biashara ya chauro km kawa, kala bagia kanenepa kama tembo