Wahindi wahama Moshi

Kweli inanonekana moshi haijui manake alichokiongea ni tofauti kabisa.Kwanza sasa hivi moshi biashara ni hamna mji sio kama ule moshi ya zamani watu wanakimbilia Arusha kaka.Na ukiona mhindi kashindwa ujue hali ni mbaya kibiashara.Na wengi wao wanaenda Arusha
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.
 
Chief Thomas Marealle ambaye alikuwa ni Paramount Chief wa Wachagga alipoulizwa huko UN kuhusu uhuru wa Tanganyika mwaka 1960 alisema ifuatavyo ; "Mkoloni atoe uhuru kwa Kilimanjaro na Arusha ndizo zilizokuwa tayari na sehemu zingine za Tanganyika zisubiri kwa miaka 50 ijayo".

Lakini kwa ujasiri wa Baba Wa Taifa haikuwezekana kutoa Uhuru kwa Arusha na Kilimanjaro, instead nchi yote ikapata uhuru mwaka 1961.

Kumsingi wachagga ni selfish, tribalist, discriminative na egoists

naongezea:-civilized,developed,economical,educated....endelea
 
Mkuu, mbona unajidanganya hivi kuna sehemu yoyote hapa Tanzania wafanyabiashara wa kitanzania wanaweza kuwakimbiza Wahindi kibiashara?

Wahindi wapo kwenye biashara miaka mingi wamekusanya pesa nyingi wakati Watanzania bado wamelala.

Ukiona wameondoka kwenye biashara zetu za kimachinga sio kama wamekimbia wame-Fetch kwenye biashara kubwa za kimataifa.

Ebu jaribu kuangalia viwanda makampuni ya ujenzi mabenki, biashara za Apartment, makampuni ya usafirishaji yote yanamilikiwa na wahindi.

Wakuu tusijifariji na mikopo yetu ya 20 milioni kutoka BOA, AKIBA, CRDB, NBC.

Uchumi wa Tanzania umekamatwa na Wahindi.

kama wameenda kwingine bas hata wahind wa iringa wangeondoka.ila ukweli unabaki kuwa wachaga wanawakimbiza wahind moshi.baadae wameenda dar wamewafukuza wadengereko kule kariakoo.wachaga balaa kaka
 
Wachagga kumbe baada ya kukimbia Kariakoo mmekimbilia nyumbani Moshi? Wakinga kiboko yenu, sasa wanakuja hadi huko moshi mtakimbia sana safari hii. Wakinga wamefunguka.
 
Sidhani kama Moshi kuna ubaguzi wa namna hiyo. Mbona sasa hivi kuna watu mbalimbali wanakuja kuwekeza Moshi. Nakumatt ambazo ni Supermarket kubwa kabisa East Africa,wamefungua branch yao Moshi. Na hata Serengeti nao wamefungua kiwanda hapa. Na kuna hata wawekezaji kama wale waliofungua Kibo tower.
Na sidhani kama kweli Wahindi wamekimbia Moshi. Kuna wafanyabiashara wenye asili ya kihindi kama Rajinder ambao wanajishughulisha na mambo ya magari. Pia wapo Hari Singh.
Sasa huo ubaguzi upo wapi?
 
Ivi NAKUMAT nayo ya wachaga?
Kiboko ya Mchaga ni Mkinga yaani kama Mmasai na Chupi!
 
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.

Moshi kuna wahindi ambao unaweza kuwahesabu na kuwataja kwa majina, labda ungesema mhindi yupi kahama.
Panjuani muuza redio na TV? Pandya muuza pariki?, Rajan na Boby wenye El Rancho?, Jani muuza chauro?, au kina Patel wenye Del Chez? Etc.
Wahindi walioiweza Moshi bado wanakomaa labda useme wale wahindi koko ambao walikua wanauza juice za kupima kwa kikombe ndio washapotezwa.
 
wachaga awana tofauti na wahaya ukiwa na biashara uko kwao ni full fitina mpaka uondoke ata bukoba makabila mengine ni nadra kuwakuta wanafanya biashara.
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.

huna nyimbo.wachaga hawana hizo wao fweza kwanza.wachakarikaji sana,sio watu wa wivu wala fitina kama wakwere.hawa watu kiukweli wako mbali hata kwao migombani si tofauti saana na kimara
 
Kulinganisha wachaga na wakinga ai si sahihi kwa kuwa mali za wakinga zinaendeahwa kwa ushirikina. Unakuta mkinga anamiliki jumba hata la ghorofa saba au kumi na maduka makubwa lakini kuvaa na kula kwake na familia ni chini hata ya kiwango cha maskini. Utakuta katika nyumba za biaashara wamewaweka wazazi wao misukule kwa ajili ya kuvuta biashara. Hakuna mkinga tajiri wa hivihivi bila kuua mama au baba au mtoto
 
Kumekucha Arumeru na sisi kama watanzania tunaotakia mema nchi hii tumeamua kujitoa kwenda kusaidia mapambano huko Arumeru, tumeingia Jiji la Moshi jana mchana na kwa mara ya kwanza nimepata nafasi ya kutembea mji wa moshi baada ya miaka mingi, huwa nakuja moshi kila mwaka lakini kila tukifika moshi tunakuwa hatuna muda wa kutembea na tunaendelea moja kwa moja hadi kijijini kwetu ambako huko hukaa hadi likizo ikiisha na huondoka kwenda stand ya mabasi na kuishia unakotakiwa kwenda.

Lakini kwa sasa nimepata nafasi ya kutembea jiji hili na kushangaa jinsi maduka makubwa niliyozoea kuyaona wakati nikiwa mdogo hayapo tena, nimeshangaa kuona zile nyumba walizokuwa wanaishi wahindi zimegeuzwa kuwa za biashara mbalimbali ambazo zinaendeshwa na watanzania wenzetu.

Tulipodadisi tumeambiwa wahindi wamekimbia baada ya kushindwa mashindano ya biashara, kwa kweli nimeshangaa sana kumwona mwafrica akimpiga bao muhindi, kazi inaendelea tutawaletea update za Arumeru kaeni mkao wa kula!

Wacha ukenge wewe moshi hakuna biashara wala mzunguko wa pesa, wahindi ni wajanja
 
Moshi kuna wahindi ambao unaweza kuwahesabu na kuwataja kwa majina, labda ungesema mhindi yupi kahama. Panjuani muuza redio na TV? Pandya muuza pariki?, Rajan na Boby wenye El Rancho?, Jani muuza chauro?, au kina Patel wenye Del Chez? Etc. Wahindi walioiweza Moshi bado wanakomaa labda useme wale wahindi koko ambao walikua wanauza juice za kupima kwa kikombe ndio washapotezwa.
umenikumbusha chauro za kwa jani nilikua nikitoka shule Mawenzi primary nakatiza kichochoro naenda kununua chauro,
 
wachaga ni wabaguzi sana na pale moshi kama we sio mchaga ukaanzisha biashara yako nzuri lazima wakufitini ufilisike.wahindi wameshindwa ukabila unafanywa na wachaga mkuu.nina uzoefu na mji huo sana

Na bado..uzoefu kuliko cc wazawa...utanyooshwa saaaana na roho yako ya mtumba...Kama vp tafute mchaga akupe njia bora na halali ya kupambana na maisha na sio majungu!
 
Nakuunga mkono: mtoto akitumwa nyama buchani anaambiwa- nenda pale kwa chuwa akukatie kilo moja ya steki. Maandalizi ya krismasi: mimi nitashona suti yangu pale kwa arawa. Mtoto akitumwa mjni: nenda ushukie pale kwenye hoteli ya ndesamburo kisha ukanunue hizo spea pale kwa masawe. Asubuhi wakiamka: manka hebu kaniletee bakuri moja ya mtori pale kwa ma matallo. Etc.................. Hata hivyo , mji wa moshi siyo hot trading destination tena, kama wewe ni rational trader huwezi kwenda kufungua biashara Moshi kwani unapokea wageni wachache na umezungukwa na maenoe mengi ambayo huduma za biashara ni nzuri zaidi-taveta, arusha, namanga na hata nairobi. It is a dead city/town anyway.
Hapa umenena, mimi ni wa kule lakini siwezi kufungua biashara pale.. Mji wa moshi kwa kweli hauna mvuto wa kibiashara kama ilivyokuwa zamani..ndio maana hata watu wengi wa moshi wanakimbilia Arusha na Dar..its also a very difficult place to work
 
jibu hoja acha kutoa kashfa.mchaga ni mbaguzi ndio mana moshi imedumaa maendeleo yanaenda arusha kwa watu wenye roho nzuri.mchaga si mtu

Ubaguzi ki vp..toa udhibitisho kwamba ulisha wai kubaguliwa na mchaga na ilikuaje na ulijuaje anakubagua...yaana hata yule TO moses swai alikuwa m'baguz darasani eeeee!! Kila kitu ni kipaji ndugu,kama huku pewa tazama upande mwingine wa maisha na umwombe Mungu..Kilimanjaro kuna Makabila mengine pia na yanafanya biashara kwa ushindani pia..mfano wapare,wasambaa(nenda tarakea wana mahoteli makubwa tuu), wa kenya kibao, wamasai(wanauza ng'ombe za ukweli)n.k.
TAHADHARI:
Mwenzio akikuzidi mbio usi mpige mtama...ongeza mbio zako kwa jinsi unavyo weza' yawezakana ukashika nafac ya pil au tatu.
 
wachaga awana tofauti na wahaya ukiwa na biashara uko kwao ni full fitina mpaka uondoke ata bukoba makabila mengine ni nadra kuwakuta wanafanya biashara.

Giza halichangamani na mwanga...LITOWEKA TUU!!
 
Aisee kuna topic flan zinakuwaga zinakula kwa wach... huwa zisipendi , lakini anyway sababu kubwa ni huku kujioboast huwa kunwagharimu sana na watu wanaamua kupakaza mbaya.

Mkuu katika comment zote nimeshindwa kukusoma wewe peke yakp'naomba rudia hii
 
Moshi kuna wahindi ambao unaweza kuwahesabu na kuwataja kwa majina, labda ungesema mhindi yupi kahama.
Panjuani muuza redio na TV? Pandya muuza pariki?, Rajan na Boby wenye El Rancho?, Jani muuza chauro?, au kina Patel wenye Del Chez? Etc.
Wahindi walioiweza Moshi bado wanakomaa labda useme wale wahindi koko ambao walikua wanauza juice za kupima kwa kikombe ndio washapotezwa.
Mkuu umenikumbusha wahindi wote wa Moshi.
Kuna kijiwe flani cha mhindi karibu na jamatini miaka ya 83 na 84 tulikuwa tunanunua sana bagia na kachori. Kunaitwa kwa Janny! Sijui kama yule mhindi bado yupo au keshavuta tayar cuz miaka hiyo alikuwa mzee!
 
Back
Top Bottom