Sangatitti
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 512
- 1,218
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.