unamchkua kipanga wako unampekecha kwa nyamayao kwa nje nje maji maji mengi wanamwagika, kesho mnaanika godoro nje mnasema baby kakojolea! hiyo ndio katerero.lol
hahahahaah! kumbe ndio katerero! Loh! hii mpya.
unamchkua kipanga wako unampekecha kwa nyamayao kwa nje nje maji maji mengi wanamwagika, kesho mnaanika godoro nje mnasema baby kakojolea! hiyo ndio katerero.lol
Hivi na Wanyambo nao ni Wahaya?
Na wapo pia wanatabia kama za Wahaya au? Naomba tofauti kati ya makabila haya mawili (wanyambo na Wahaya) na kama yanatabia zinazofanana! manake mshikaji kabanwa kweli haswa na binti wa Kinyambo...!
Enzi hizo miaka ya 40 iliyopita ilikuwa hivyo, na hii ilikuwa ni mila ya waganda, lakini kuanzia mwaka 1970 wamebadilika na hiyo mila hakuna, wamebaki nayo wajaluo na wakulyaKwani wahaya kwa asili hawatahiri kuondoa govi? Naomba jibu pls japo nje ya mada kuu
wahaya,bwana wanafaa waoeane wenyewe,wanaringa sana hawa,u cant help this,ila wanawake wanaweza kuolewa na makabila mengine,ila watu wengi wanasema hawakamatiki,hapa sio kweli,hata makabila mengine wana nyumba ndogo ,kuna wachagga pia ,nao wakiwa matawi ya juu,wanatakiwa waoe matawi ya juu pia ,amasivyo mke/mume utadharaulika wewewee
Mkuu kizazi cha zamani, sio cha sasa kwani now watu wengi wa makabila mengine wamesoma, nowadays vijana wa kihaya labda wajisifie kwa mengine lakini thru my experience hawajisifii usomi tena.
Mimi ni mhaya fika. Ni kweli kizazi cha kuanzia baba yako kwenda juu kilikuwa na tatizo moja kubwa: Superiority Complex. Wanyankole huko Uganda bado mpaka sasa wana tatizo la kujiona wako juu ya jamii nyingine hivyo jamii nyigi haziwapendi. na sisi wahaya tuliwahi kuwa kama hawa wenzetu wa Uganda. Kumbuka hapo zamani kidogo kijana wa kihaya ilikuwa sio rahisi kuoa makabila mengine kwa kisingizio kwamba ni "wanyamahanga"! Anyway kidogo kidogo the attitude is now changing for the better. Hang in there do not despair.
We unawajua wakurya wewe/ acha kabisa hakuna mkurya ambaye hajarahiriwa, na si tu kutahiriwa bali kutahiriwa na kisu bila ganzi ndo fahari yao, na kama hujatahiriwa huwezi kuwa mwanaume, utaitwa mwanamke lol. go and read abt them and come here and say this.Enzi hizo miaka ya 40 iliyopita ilikuwa hivyo, na hii ilikuwa ni mila ya waganda, lakini kuanzia mwaka 1970 wamebadilika na hiyo mila hakuna, wamebaki nayo wajaluo na wakulya
Mtoa hoja kasema kuwa tunachunguzwa sana katika mapenzi, kwa nini?, Hapa tunataka jibu lake, sasa haya mambo ya kujiona, kutofanya usafi bafuni, kutahiliwa nk yanatoka wapi?Hawatahiriwi wale ambao hawajapata exposure ya western that means their culture dictionary does not have the word "circumcision" Hukumbuki wakati wa Juliana iliwala sana kwa sababu ya natural "gloves" kunani? Anyway ni watani wangua hawa niachieni.
wadau acheni hizo,haya ni mambo ya stereotype tu,kama ni arrogance hiyo ni tabia ya mtu binafsi.nafahamu watu wengi wenye nyodo wengine wasukuma,nyakyusa,wahindi....just mention it. Mimi nadhani kikubwa ni wawili ku hit basi,mambo ya makabila hayahusu,afterall nasikia wanaume wa kihaya kwa teknolojia ya ngono ndo wenyewe!
alienitoa usichana wangu alikuwa ni muhaya, akataka kununua jumla, wazazi waliniuliza kama kweli ndio nimechagua mchumba mpaka nimefikia hapo niliwajibu" ndio chaguo la moyo wangu", nikapewa go ahead! nili sarenda mwenyewe, wahaya hawaja2lia 100%, dunia ya leo hakuna u2livu but wahaya too much, alimpata mdada mwingine wakafunga ndoa haikupita miezi 3 ndoa ilivunjika, last year sept alimpata mdada mwingine mambo yakawa hivyo hivyo,yani kuishi na muhaya ina hitaji moyo haswa, kwa wadada nao ndio kama kaka zao! wanamajidai/wanajisikia/dharau/wanajiona juu wakati wote....
kwi kwi vipi du itabidi unywe sumu au ujitundikedah,, sijui ni nini kimenileta huku
kwi kwi vipi du itabidi unywe sumu au ujitundike