Baada ya uhuru tumeshuhudia mtaala wa elimu ukipandisha alama za ufaulu kuingia sekondari kwa wakazi wa mkoa wa Kagera kwa kile serikali ilichokiita eti ni sera ya kuleta usawa kielimu Tanzania nzima.Kwa mfano wakati huo mkazi wa Kagera alipaswa kuwa na alama za ufaulu 90,mkazi wa eneo jingine aliweza kuchaguliwa kujiunga na sekondari kwa alama 40.Hii ni kinyume cha haki za binadamu(right to education).Evidence zipo naomba ndugu zangu tupeleke kesi hii ICC ili tutendewe haki.
wahaya tunakuhuu?Ushirikiano wa wahaya naona uko zaidi katika uongeaji lugha yao,ila si katika maendeleo!!
Mkuu wangu tatizo hapo ni walimu wazuri,vifaa na mazingira mazuri ya kujisomea. Ndugu zetu Wachagga walipitia katika madhila kama yetu,lakini wao walijatambua na sasa wanazidi kusonga mbele kwa kasi,sisi tumebakia kulalamika! Tunapaswa kujitambua kwanza ndipo tuelewa uwezo mkubwa tulionao! Tumejaza wasomi,matajiri na watu wenye vipaji wengi waliotapakaa Dunia nzima. Viongozi wetu mfano wabunge wanawashirikisha vipi kuchochea maendeleo ya Bukoba? Leo nimeangalia Fund raising ya CDM ktk Startv Live toka Arusha. Nimejiuliza sisi kama Wahaya tunashiriki vipi ktk ukombozi wa pili wa nchi yetu? Tumebakia kulalamika bila kuchukua hatua! Wenzetu Kilimanjaro wabunge wao wanaulizwa na wapiga kura kula wao maji safi ya bomba na barabara za lami! Elimu,Hospitali,Umeme na Mawasiliano ya simu walikwisha maliza! Sisi wabunge wetu wanafanya nini? Kama siyo kuzinzia na kugonga meza?Si kihivyo; kwani wahaya wote wameisha????, we sema tu tulikandamizwa na tunaendelea kukandamizwa bila kujitambua: just imagine; mtu anayemaliza kidato cha 4 Kagera mwenye Div.4 akija Dar akarudia paper anatisha si mchezo; wapo wengi wamehitu Engineering na Sheria na wanafanya vizuri ktk soko la ajira.
Kama mnawachagua akina karamagi mnategemea nini?Mkuu wangu tatizo hapo ni walimu wazuri,vifaa na mazingira mazuri ya kujisomea. Ndugu zetu Wachagga walipitia katika madhila kama yetu,lakini wao walijatambua na sasa wanazidi kusonga mbele kwa kasi,sisi tumebakia kulalamika! Tunapaswa kujitambua kwanza ndipo tuelewa uwezo mkubwa tulionao! Tumejaza wasomi,matajiri na watu wenye vipaji wengi waliotapakaa Dunia nzima. Viongozi wetu mfano wabunge wanawashirikisha vipi kuchochea maendeleo ya Bukoba? Leo nimeangalia Fund raising ya CDM ktk Startv Live toka Arusha. Nimejiuliza sisi kama Wahaya tunashiriki vipi ktk ukombozi wa pili wa nchi yetu? Tumebakia kulalamika bila kuchukua hatua! Wenzetu Kilimanjaro wabunge wao wanaulizwa na wapiga kura kula wao maji safi ya bomba na barabara za lami! Elimu,Hospitali,Umeme na Mawasiliano ya simu walikwisha maliza! Sisi wabunge wetu wanafanya nini? Kama siyo kuzinzia na kugonga meza?