Wahaya kutoa tamko kuhusu kuonewa kielimu baada ya uhuru

LOh! hii kali kinoma, maaana du, inabidi tufanye critical argumentation, Mikoa ambamo wahaya walihamia wakapata alama za kati , imean chini ya 90% waliwatosa pia? hahahaahaaaa. Suala la kuwa bright lina ushahidi fulani japo uhakika ndo issue. Kuwa sehemu zote ambazo ndizi na samaki zinapatikana kwa wingi watu wako bright. Mfano wachagga, wahaya , wanyakyusa ni balaa. Ila hii inaa changanya maana kuna wahaya, wachagga, wanyakyusa ambao ni vilaza kinoma. Sasa sijui nielewe vipi? Tamko hilo inabidi lihakikishe wahaya wote hawakutoka nje ya mkoa wakafaulu kwa 40% au alama!!!!!!!!!!!!!!!!!. Sometimes reasoning matters
 
..kwa hiyo ina maana kuna Wahaya walikuwa wanafaulu mitihani lakini wanaachwa na badala yake wanachukuliwa wenye alama ndogo?

..nadhani huo ni uonevu wa waziwazi na haijalishi hata kama kulikuwa na chembe ya "nia njema."

..kilichopaswa kufanyika ni kuboresha mazingira ya utoaji elimu ktk hayo maeneo mengine, na siyo kuanzisha utaratibu wa kuwafelisha wananchi wa kabila la Wahaya.

Unajua nini mkuu, ndugu zetu hawa waliamua kubadilisha majina yao ya asili na kutumia majina ya kizungu ili waweze kuchaguliwa,

1.mfano JOHN NDIBALEMA,alipaswa kubadili jina na kujiitabulisha kama JOHN PROTASE,HAMIS KAGASHEKI,aliweza kutumia HAMIS MOHAMED.ili afiche ubini aweze kwenda secondary

2.Wengine waliweza kuhama Mkoa na kuingia Mikoa mingine ili waweze kuchaguliwa.
 
Crap crap crap... Hakuna Muhaya mwenye akili timamu atakaye thubutu kutoa tamko kuhusiana na matokeo hayo eti kudai wahaya wamechakachuliwa, Wahaya cku zote tuko juu, hakuna kabila lolote tanzania linaloweza kutufikia kwenye maswala ya elimu.
 
LOh! hii kali kinoma, maaana du, inabidi tufanye critical argumentation, Mikoa ambamo wahaya walihamia wakapata alama za kati , imean chini ya 90% waliwatosa pia? hahahaahaaaa. Suala la kuwa bright lina ushahidi fulani japo uhakika ndo issue. Kuwa sehemu zote ambazo ndizi na samaki zinapatikana kwa wingi watu wako bright. Mfano wachagga, wahaya , wanyakyusa ni balaa. Ila hii inaa changanya maana kuna wahaya, wachagga, wanyakyusa ambao ni vilaza kinoma. Sasa sijui nielewe vipi? Tamko hilo inabidi lihakikishe wahaya wote hawakutoka nje ya mkoa wakafaulu kwa 40% au alama!!!!!!!!!!!!!!!!!. Sometimes reasoning matters

Swala la kuwa "Kilaza" ni maumbile hata ukimkuta mzungu kilaza utadhani professional,yaani ukilaza haswaaaaa!
 
Crap crap crap... Hakuna Muhaya mwenye akili timamu atakaye thubutu kutoa tamko kuhusiana na matokeo hayo eti kudai wahaya wamechakachuliwa, Wahaya cku zote tuko juu, hakuna kabila lolote tanzania linaloweza kutufikia kwenye maswala ya elimu.

Achana na historia wewe "Ikengya"
 
Waitu, Kwa nini msianze na vitu vya kimsingi kama vile kutoe tamko/au hata kuandamana kuhusu katerero kuingizwa kwenye katiba?
 
Tena anzeni kudai mapema au unganeni na wachaga,na wale wa vikofia waliokaa juzi diamond na mza ili kwa umoja wenu serikali ya mkwere itawalipa baada ya kulipa dowans

Achana na ushabiki wa kidini tuko serious katka hili,si mhaya wa Kiislamu wala Kiikristo daima huwa tumeungana katika issue zetu.
 
Waitu, Kwa nini msianze na vitu vya kimsingi kama vile kutoe tamko/au hata kuandamana kuhusu katerero kuingizwa kwenye katiba?

Ushaanza utani wakati wananchi wamekuwa victimized socially,politacally,psychologically and economically,tupe msaada wa kisheria sio mbwela.
 
Ushaanza utani wakati wananchi wamekuwa victimized socially,politacally,psychologically and economically,tupe msaada wa kisheria sio mbwela.

data nyingi sasa ni electronic. tuwekee huo mtaala unaoulalamikia hapa tujiridhishe.

au unyamaze tu mkuu
 
Mkuu ukileta evidence. Si maneno legal document ya kuongeza maksi kwa kabila moja regardless ni kwa wahehe au wachaga nakuhakikishia hali itachafuka. Haraka haraka nimefikiria kama ukileta ushaidi tunafile kesi Vs the URT kuiomba mahakama kuiamuru serikali iwapeleke masomoni wale wote waliokuwa na vigezo wakaachwa. Hii ni dhambi wala si sera,ikidhibitika ni kweli basi tunaweza kuanza kusema kuwa Tanzania kuna ukabila. Pia miaka 7 ijayo nataka kufile caseVs the statehouse kwa kutamka hadharani kuwa mhaya na mchagga hawatakaa wapate rais. Haya yalikuwa maneno ya ikulu ya wakati huo na kwa kuwa rais ni taasisi basi itashitakika baada ya kupata evidence. In the course time,we shall make reality. Mkuu tundika evidence tuanze maandalizi!

great thinker, umentia moyo inapendeza sana.ntaleta evidence zangu hapa ili tuuoneshe ulimwengu madhira haya yaliyotupata na nimakubwa sana mpaka leo hii yanatutafuna.Tanzania ukabila upo especially unapogombea nafasi fulani,ntatoa mfano mmoja, nikiwa Chuo fulani hapa TZ nilikuwa nakubalika sana katka kutetea maslahi ya wanafunzi.Nilipogombea Urais wa chuo nilitisha sana kwa hoja,lakini mpizani wangu alitumia Cheap popularity kuwa eti mie Mhaya na Nyerere alishasema eti hatufai.nilishindwa vibaya mno,Nilipewa uwaziri nikakubalika tena sana,ila Urais nikaambiwa no.. Am sure hii dhambi ya kutugawa kidini na kimakabila inatumika sana Tz tangia Vyuoni.
 
great thinker, umentia moyo inapendeza sana.ntaleta evidence zangu hapa ili tuuoneshe ulimwengu madhira haya yaliyotupata na nimakubwa sana mpaka leo hii yanatutafuna.Tanzania ukabila upo especially unapogombea nafasi fulani,ntatoa mfano mmoja, nikiwa Chuo fulani hapa TZ nilikuwa nakubalika sana katka kutetea maslahi ya wanafunzi.Nilipogombea Urais wa chuo nilitisha sana kwa hoja,lakini mpizani wangu alitumia Cheap popularity kuwa eti mie Mhaya na Nyerere alishasema eti hatufai.nilishindwa vibaya mno,Nilipewa uwaziri nikakubalika tena sana,ila Urais nikaambiwa no.. Am sure hii dhambi ya kutugawa kidini na kimakabila inatumika sana Tz tangia Vyuoni.

Nadhani kwanza sharti ukapimwe akili-Wahaya wanabaguliwa tz? Inaelekea uchaguzi mkuu uliopita umeongeza machizi wengi tz eeenh?
 
Baada ya uhuru tumeshuhudia mtaala wa elimu ukipandisha alama za ufaulu kuingia sekondari kwa wakazi wa mkoa wa Kagera kwa kile serikali ilichokiita eti ni sera ya kuleta usawa kielimu Tanzania nzima.Kwa mfano wakati huo mkazi wa Kagera alipaswa kuwa na alama za ufaulu 90,mkazi wa eneo jingine aliweza kuchaguliwa kujiunga na sekondari kwa alama 40.Hii ni kinyume cha haki za binadamu(right to education).Evidence zipo naomba ndugu zangu tupeleke kesi hii ICC ili tutendewe haki.

Modern morality and manners suppress all natural instincts
 
Baada ya uhuru tumeshuhudia mtaala wa elimu ukipandisha alama za ufaulu kuingia sekondari kwa wakazi wa mkoa wa Kagera kwa kile serikali ilichokiita eti ni sera ya kuleta usawa kielimu Tanzania nzima.Kwa mfano wakati huo mkazi wa Kagera alipaswa kuwa na alama za ufaulu 90,mkazi wa eneo jingine aliweza kuchaguliwa kujiunga na sekondari kwa alama 40.Hii ni kinyume cha haki za binadamu(right to education).Evidence zipo naomba ndugu zangu tupeleke kesi hii ICC ili tutendewe haki.
Khe Khee kheeeee
 
Baada ya uhuru tumeshuhudia mtaala wa elimu ukipandisha alama za ufaulu kuingia sekondari kwa wakazi wa mkoa wa Kagera kwa kile serikali ilichokiita eti ni sera ya kuleta usawa kielimu Tanzania nzima.Kwa mfano wakati huo mkazi wa Kagera alipaswa kuwa na alama za ufaulu 90,mkazi wa eneo jingine aliweza kuchaguliwa kujiunga na sekondari kwa alama 40.Hii ni kinyume cha haki za binadamu(right to education).Evidence zipo naomba ndugu zangu tupeleke kesi hii ICC ili tutendewe haki.
Karibu waitu tustage pamoja kwani Wachaga wao wameshakaribia kuchukua inchi huku wanyakyusya wakipiga hesabu ya jinsi ya kuwapiku Wachaga. Ni sisi tu ndo tulikuwa hatutaki kuona ukweli. Lol
 
Na ni siku nyingine hapa JF!

Watakuja Wakurya - Wabarbaig - Wamakonde - Waha - !!!!
 
Back
Top Bottom