Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Nataka list kamili sasa ya watu waliohama na majimbo yao ilikujua hiyo strategy imnefikia wapi na kuweza kujadili mengine maana muda wa kampeni umekaribia; Kuna mbunge wangu la saba ameshinda tena ila watu hawamtaki sasa wanayemtaka ni msomi na NEC imeshawanyongesha na kijana ni critical; nini kifanyike kama sio kuhamia chama kingine ukizingatia there is no mgombea binafsi-chadema go in Sumve take one person Longine/Mchele they; jimbo liko wazi nipo hapa kila mtu analalamika; ikifikia hadi akina mama hawamtaki ujue kunafuka moto