Wafuasi wa Vyama vya upinzani yatafakarini haya na mchukue hatua

political monger senior

JF-Expert Member
Nov 26, 2020
1,801
5,788
KUWA UPINZANI TANZANIA NI KUJIPA MAUMIVU TU.
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi Viongozi wa Upinzani Tanzania wanavyowatumia vibaya wanachama wao. Nimekuwa nikiangalia namna ambavyo baadhi ya Wanachama waliovipigania Vyama hivyo kwa machozi na Damu wanavyonekana hawana thamani yoyote.

Hivi Jiulize kwa Chama kama CHADEMA ambacho kwa zaidi ya Miaka 20 kimekuwa kikiongozwa kama kikundi cha familia fulani huku kuna baadhi ya wanachama ambao wamejitoa kwa machozi na damu kujenga vyama hivyo, Unahisi watu hawa wanajisikiaje?

Hivi jiulize ni maumivu kiasi gani unayojibebea kwa kuwa Shabiki wa Chama ambacho hakina uwezo wa Kuleta hoja zinazokugusa wewe kama mwananchi wa Kawaida zaid ya kukushawishi kutumika kuandamana na kuingia kwenye Mgogoro na Vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Matamanio ya Vijana wengi katika Siasa za Upinzani Tanzania ilikuwa kupata Vyama vitakavyokuwa mstari wa Mbele kutetea maslahi yao na sio Vyama vya kuwatumia Kuandamana na Kutetea Agenda za Ushoga kwa misingi ya Kupata misaada na Fedha kutoka kwa wafadhili toka mataifa ya Kigeni.

Leo hii Vyama vya Upinzani Nchini Tanzania vimekuwa mstari wa mbele kujaribu kuwajaza jazba Vijana wa Tanzania ili waweze kutumika kama Ngao yao ya kutekeleza Vitendo vyao vya Uovu.

Mpaka sasa vijana wote makini wamewashtukia wahuni wa Vyama Vya upinzani na wameamua kutotumiwa kutafutia Misaada na ruzuku toka kwa mabeberu.

Vijana makini wameamua Kukataa Ushoga na Kuunga Mkono Maendeleo. Vijana makini wanaona umuhimu wa Kumuunga Mkono mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kuna wafanyabiashara apa Tanzania wametenga mabilioni ya fedha ili kuakikisha Bandari inakosa mwekezaji wa Uhakika ili waendelee kutajirika kutokana na mifumo yetu mibovu iliyojaa Rushwa na ufisadi wa kutosha.

NASIMAMA NA PRESIDENT SAMIA KWENYE ILI LA BANDARI WEWE JE?
 
Amjajua nini kilichopo nyuma ya izi kampeni za kupinga DP WORLD laiti mngejua ni hela kiasi gani zimetengwa kwa kuakikisha ilo swala linafanikiwa msingeupinga huu mkataba..
 
Mstari wa Mbele kutetea maslahi yao na sio Vyama vya kuwatumia Kuandamana na Kutetea Agenda za Ushoga kwa misingi ya Kupata misaada na Fedha kutoka kwa wafadhili toka mataifa ya Kigeni

Punguza uongo wanaokataa ushoga tunawajua niwaganda ambao kwa sasa tunaona wanavyoreact najinsi wanavyokutana nachangamoto chama dola kimekubali haya mambo ndio maana hatusikii ikisakamwa
 
Kuna wafanyabiashara apa Tanzania wametenga mabilioni ya fedha ili kuakikisha Bandari inakosa mwekezaji wa Uhakika ili waendelee kutajirika kutokana na mifumo yetu mibovu iliyojaa Rushwa na ufisadi wa kutosha


Wataje wafanyabiashara hao napia kama uwekezaji mpya kama utafanya watu kudidimia kiuchumi hautakua namaslahi kwa wananchi nakama hauna maslahi kwa wananchi tueleze nikwafaida ya nani?
 
mstari wa Mbele kutetea maslahi yao na sio Vyama vya kuwatumia Kuandamana na Kutetea Agenda za Ushoga kwa misingi ya Kupata misaada na Fedha kutoka kwa wafadhili toka mataifa ya Kigeni

Punguza uongo wanaokataa ushoga tunawajua niwaganda ambao kwa sasa tunaona wanavyoreact najinsi wanavyokutana nachangamoto chama dola kimekubali haya mambo ndio maana hatusikii ikisakamwa
Watetea ushoga mbona wanajulikana ata wafuasi wenzako wanalitambua ilo
 
Kusoma andiko kama hili ni kujipa mzigo usiokuwa na lazima yoyote.

Mtu mwenyewe anajitambulisha kuwa 'political monger, tena 'senior''.

Kuna la maana la kutegemewa kwenye akili kama hiyo?
 
KUWA UPINZANI TANZANIA NI KUJIPA MAUMIVU TU.
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi Viongozi wa Upinzani Tanzania wanavyowatumia vibaya wanachama wao. Nimekuwa nikiangalia namna ambavyo baadhi ya Wanachama waliovipigania Vyama hivyo kwa machozi na Damu wanavyonekana hawana thamani yoyote.

Hivi Jiulize kwa Chama kama CHADEMA ambacho kwa zaidi ya Miaka 20 kimekuwa kikiongozwa kama kikundi cha familia fulani huku kuna baadhi ya wanachama ambao wamejitoa kwa machozi na damu kujenga vyama hivyo, Unahisi watu hawa wanajisikiaje?

Hivi jiulize ni maumivu kiasi gani unayojibebea kwa kuwa Shabiki wa Chama ambacho hakina uwezo wa Kuleta hoja zinazokugusa wewe kama mwananchi wa Kawaida zaid ya kukushawishi kutumika kuandamana na kuingia kwenye Mgogoro na Vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Matamanio ya Vijana wengi katika Siasa za Upinzani Tanzania ilikuwa kupata Vyama vitakavyokuwa mstari wa Mbele kutetea maslahi yao na sio Vyama vya kuwatumia Kuandamana na Kutetea Agenda za Ushoga kwa misingi ya Kupata misaada na Fedha kutoka kwa wafadhili toka mataifa ya Kigeni.

Leo hii Vyama vya Upinzani Nchini Tanzania vimekuwa mstari wa mbele kujaribu kuwajaza jazba Vijana wa Tanzania ili waweze kutumika kama Ngao yao ya kutekeleza Vitendo vyao vya Uovu.

Mpaka sasa vijana wote makini wamewashtukia wahuni wa Vyama Vya upinzani na wameamua kutotumiwa kutafutia Misaada na ruzuku toka kwa mabeberu.

Vijana makini wameamua Kukataa Ushoga na Kuunga Mkono Maendeleo. Vijana makini wanaona umuhimu wa Kumuunga Mkono mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kuna wafanyabiashara apa Tanzania wametenga mabilioni ya fedha ili kuakikisha Bandari inakosa mwekezaji wa Uhakika ili waendelee kutajirika kutokana na mifumo yetu mibovu iliyojaa Rushwa na ufisadi wa kutosha.

NASIMAMA NA PRESIDENT SAMIA KWENYE ILI LA BANDARI WEWE JE?
ccm inaongozwa kama genge la dini ya kiislam angalia mwenyekit,makamu mwenyekit bara na zanzibar angalia katibu mkuu wote ni dini gani halafu wewe kuwadi la warabu unadanganywa ni chama cha siasa wakati ni genge la mujahidina.
 
KUWA UPINZANI TANZANIA NI KUJIPA MAUMIVU TU.
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia jinsi Viongozi wa Upinzani Tanzania wanavyowatumia vibaya wanachama wao. Nimekuwa nikiangalia namna ambavyo baadhi ya Wanachama waliovipigania Vyama hivyo kwa machozi na Damu wanavyonekana hawana thamani yoyote.

Hivi Jiulize kwa Chama kama CHADEMA ambacho kwa zaidi ya Miaka 20 kimekuwa kikiongozwa kama kikundi cha familia fulani huku kuna baadhi ya wanachama ambao wamejitoa kwa machozi na damu kujenga vyama hivyo, Unahisi watu hawa wanajisikiaje?

Hivi jiulize ni maumivu kiasi gani unayojibebea kwa kuwa Shabiki wa Chama ambacho hakina uwezo wa Kuleta hoja zinazokugusa wewe kama mwananchi wa Kawaida zaid ya kukushawishi kutumika kuandamana na kuingia kwenye Mgogoro na Vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Matamanio ya Vijana wengi katika Siasa za Upinzani Tanzania ilikuwa kupata Vyama vitakavyokuwa mstari wa Mbele kutetea maslahi yao na sio Vyama vya kuwatumia Kuandamana na Kutetea Agenda za Ushoga kwa misingi ya Kupata misaada na Fedha kutoka kwa wafadhili toka mataifa ya Kigeni.

Leo hii Vyama vya Upinzani Nchini Tanzania vimekuwa mstari wa mbele kujaribu kuwajaza jazba Vijana wa Tanzania ili waweze kutumika kama Ngao yao ya kutekeleza Vitendo vyao vya Uovu.

Mpaka sasa vijana wote makini wamewashtukia wahuni wa Vyama Vya upinzani na wameamua kutotumiwa kutafutia Misaada na ruzuku toka kwa mabeberu.

Vijana makini wameamua Kukataa Ushoga na Kuunga Mkono Maendeleo. Vijana makini wanaona umuhimu wa Kumuunga Mkono mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kuna wafanyabiashara apa Tanzania wametenga mabilioni ya fedha ili kuakikisha Bandari inakosa mwekezaji wa Uhakika ili waendelee kutajirika kutokana na mifumo yetu mibovu iliyojaa Rushwa na ufisadi wa kutosha.

NASIMAMA NA PRESIDENT SAMIA KWENYE ILI LA BANDARI WEWE JE?
Kuna akiri apo au ni matope tu

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom