Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,177
- 31,974
Kwa mujibu wa Katiba yetu iliyojaa mapungufu na mapengo mengi ambayo hao jamaa niliowataja wakiamua kukupeleka mchaka mchaka utajuta kuzaliwa Tanzania.
DPP au DCI wakiamua kukufutia kesi au kukubambikia kesi ya mchongo wanaweza bila shida yoyote chini ya katiba yetu inayoruhusu watawala kuamua chochote.
Nilikuwa sijui Katibu wa Uenezi & Itikadi Taifa ana nguvu kama DCI, DPP. Ahsante Makonda umenifungua macho na kunitoa tongo tongo la ulevi wa madaraka.
Ngongo kwasasa Uturuki.
DPP au DCI wakiamua kukufutia kesi au kukubambikia kesi ya mchongo wanaweza bila shida yoyote chini ya katiba yetu inayoruhusu watawala kuamua chochote.
Nilikuwa sijui Katibu wa Uenezi & Itikadi Taifa ana nguvu kama DCI, DPP. Ahsante Makonda umenifungua macho na kunitoa tongo tongo la ulevi wa madaraka.
Ngongo kwasasa Uturuki.