hahahahaaaa!mkuu jana nilikuwa napiga hayo mapini watu wakaanza kuniuliza kama naweza kuwawekea ktk simu zao.nikawaambia naogopa cosota watanifunga.pamoja sana mkuu pia najua hizo unazo ziweka tumefaidi wengi japo wengine hawajachangia ilatambua unatusaidia wengi..alafu umenikumbusha na goma jingine linaimba hivi'njoo darling njoo darlng unipoze moyo' na 'mimi mwenyewe kwenda nimekwenda sokoni kununua kabechi pilipili kuletea bibi chumbani.dagaa uono mboga yawanyonge.......