Wadau wa taarab msaada wenu wahitajika

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
wadau kuna nyimbo za taarabu za zamani zilizopigwa na abdul misambano akiwa na leila khatibu.nimezitafuta mpaka nimechoka.Leila wangu,asuu, nk nitazipata wapi jamani? Msaada tafwadhari! @jamani
 
wadau kuna nyimbo za taarabu za zamani zilizopigwa na abdul misambano akiwa na leila khatibu.nimezitafuta mpaka nimechoka.Leila wangu,asuu, nk nitazipata wapi jamani? Msaada tafwadhari! @jamani

MI NINAZO LAKINI SI ZAMANI YA KINA MISAMBANO.. ZA ZAMANI ZAIDI.. kina sit bint saad, ikhwaa safaa ... etc
 
MI NINAZO LAKINI SI ZAMANI YA KINA MISAMBANO.. <i><b>ZA ZAMANI ZAIDI</b></i>.. kina sit bint saad, ikhwaa safaa ... etc
mkuu nitumie hata hizo nitashukuru zedy2004@gmail.com
 
wadau kuna nyimbo za taarabu za zamani zilizopigwa na abdul misambano akiwa na leila khatibu.nimezitafuta mpaka nimechoka.Leila wangu,asuu, nk nitazipata wapi jamani? Msaada tafwadhari! @jamani

mkuu pm rizwan ndiye no one taarabu supporter lazima atakuwa nazo
 
ok hii link nimeweka nyimbo 24.... nyingi ni za abdallah issah... <br />
<br />
<a href="http://www.sendspace.com/file/ifvfzq" target="_blank">Download Old taarab.zip from Sendspace.com - send big files the easy way</a><br />
<br />
kesho ukirejea nitaweka nyingine
thanx mkuu jf kweli kiboko.
 
kama nilivyokuahidi nyingine hizi<br />
<br />
<a href="http://www.sendspace.com/file/nc1nil" target="_blank">Download Old taarab.zip from Sendspace.com - send big files the easy way</a><br />
<br />
kuna tracks 27 &gt;&gt;&gt; kuna nyimbo za abudul aziz, asha simain , oman modern taarab, culture .. na wengineo<br />
<br />
kesho nitakuweka nyingine!
kiongozi upo juu nimezinyonya zile ulizo niwekea juzi na hizi kesho nafanya kweli nitakapokuwa ktk pc shkran sana.
 
kiongozi upo juu nimezinyonya zile ulizo niwekea juzi na hizi kesho nafanya kweli nitakapokuwa ktk pc shkran sana.

poa na Zip nyingine 37 .... baadaye temebelea hapa nitakuwekea link
 
poa na Zip nyingine 37 .... baadaye temebelea hapa nitakuwekea link
hahahahaaaa!mkuu jana nilikuwa napiga hayo mapini watu wakaanza kuniuliza kama naweza kuwawekea ktk simu zao.nikawaambia naogopa cosota watanifunga.pamoja sana mkuu pia najua hizo unazo ziweka tumefaidi wengi japo wengine hawajachangia ilatambua unatusaidia wengi..alafu umenikumbusha na goma jingine linaimba hivi'njoo darling njoo darlng unipoze moyo' na 'mimi mwenyewe kwenda nimekwenda sokoni kununua kabechi pilipili kuletea bibi chumbani.dagaa uono mboga yawanyonge.......
 
hahahahaaaa!mkuu jana nilikuwa napiga hayo mapini watu wakaanza kuniuliza kama naweza kuwawekea ktk simu zao.nikawaambia naogopa cosota watanifunga.pamoja sana mkuu pia najua hizo unazo ziweka tumefaidi wengi japo wengine hawajachangia ilatambua unatusaidia wengi..alafu umenikumbusha na goma jingine linaimba hivi'njoo darling njoo darlng unipoze moyo' na 'mimi mwenyewe kwenda nimekwenda sokoni kununua kabechi pilipili kuletea bibi chumbani.dagaa uono mboga yawanyonge.......

hahaha hiyo nyimbo ya njoo darling kaimba bi shakila nadhani, basi hizi hapa nyingine ndani utawakuta kina sabah munchanchu, ile nyimbo yake "mithili yako hapana" , bi rukia ramadhan , seif salim .. ikhwaan safaa , issa matona "kimasomaso" na wengine

Download Old taarab.zip from Sendspace.com - send big files the easy way

kesho nitakuwekea za bi kidude na bi malika
 
hahaha hiyo nyimbo ya njoo darling kaimba bi shakila nadhani, basi hizi hapa nyingine ndani utawakuta kina sabah munchanchu, ile nyimbo yake &quot;mithili yako hapana&quot; , bi rukia ramadhan , seif salim .. ikhwaan safaa , issa matona &quot;kimasomaso&quot; na wengine <br />
<br />
<a href="http://www.sendspace.com/file/6sqzqc" target="_blank">Download Old taarab.zip from Sendspace.com - send big files the easy way</a><br />
<br />
kesho nitakuwekea za bi kidude na bi malika
mkubwa tunasubiri za bi kidude
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom