gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 407
Amekua na ushawishi mkubwa katika jamii majina yake ni mchungaji anthony lusekelo kanisa lake liko ubungo kibangu
peleka nyege zako kwa mkeo hujaitwa humuUnaitaka ya nini? weka kwanza ya kwako.
peleka nyege zako kwa mkeo hujaitwa humu
Amekua na ushawishi mkubwa katika jamii majina yake ni mchungaji anthony lusekelo kanisa lake liko ubungo kibangu
Nasikia mwanzoni alikuwa anaitwa 'katapila' sasa hivi anatambulika kama 'transfoma' baadae ataitwa 'kifusi cha kajima' inategemea idadi ya watu ambao wataamua kupumzisha uwezo wao wa kufikiri na kuazima wa watu wengine kama itaongezeka, Oops! Samahani hii ni dibaji ngoja niweke cv yake: