AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Dahhh
shikamoo ni jamani..
Napita tu.....
AD nilikua nime miss hio Avatar, ulipobadilisha ukaweka miguu juu ilibidi tu nikubali but i had missed the old one.... I love this one mo'
Dahhh
shikamoo ni jamani..
Napita tu.....
kwakweli lkn dia miezi 6 zi inakuwa haifai tena au?
Haahahaha lolAD nilikua nime miss hio Avatar, ulipobadilisha ukaweka miguu juu ilibidi tu nikubali but i had missed the old one.... I love this one mo'
Mimi haujani-miss???AD nilikua nime miss hio Avatar, ulipobadilisha ukaweka miguu juu ilibidi tu nikubali but i had missed the old one.... I love this one mo'
Haahahaha lol
Sante my dear nilipata PM kwa fujo
kila wananiambia nirudishe..kule kwenye siasa
Ndo walikuwa wananitolea live nikaona bora niirudishe..hahaha lol..
ooh ok thats gud zen lak si una mke,dada mama etc unajua yy anabeba nn? (sio ukapekue pochi lkn)
Hahahahduh leo shikamoo eeeh haya maliyaba toto zuri hujambo?
Nawashuku walo PM, waliwakilisha...
..........In case rafiki akihitaji.......ah ah ah we unabeba mamy?mm sibebi coz sizihitaji lkn nilipokuwa kabinti nilikuwa nabeba lakini za kiume
Hahahah we bibi mzuri
unavituko wewe mmhhh
..........In case rafiki akihitaji.......
Muhimu kubeba mwalii ..................si wajua tena wengine ka wajaluo wao weshazoea wakati wowote ni wakati wa chai...mradi havunji sheria.
ah ah ah mi sijambo kabisa love duh begi?yani kambi popote?ah ah ah uko juu ma,miss ur sauti tena