Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Habari zenu Wadada,wamama popote pale mlipo,Mungu ni mwema na anazidi kutupigania siku hadi siku na kutunza familia zetu japo matatizo hapa na pale ni lazima.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.