Wadada!

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
Habari zenu Wadada,wamama popote pale mlipo,Mungu ni mwema na anazidi kutupigania siku hadi siku na kutunza familia zetu japo matatizo hapa na pale ni lazima.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.
 
Pearl, umepotea sana. Pochi haifundishwi iwekwe nini, inatokana na mahitaji ya mbebaji.
 
sijasema nifundishwe inawekwa nn nataka nijue wenzangu wanaweka nn na kama ni muhim kuwa nayo
Pearl, umepotea sana. Pochi haifundishwi iwekwe nini, inatokana na mahitaji ya mbebaji.
 
kalamu,pedi,perfume,wallet na cosmetic bag,handkerchief,notebook,mouth spray and tissues!:bange:
 
Ahh, napita tu, mi m-baba. Ila macho hayana pazia. Wakaka tunatembea na keshi kiasi na ATM kadi kwenye wallet, halafu pen na notebook sichezi nazo mbali.
 
ooh ok thats gud zen lak si una mke,dada mama etc unajua yy anabeba nn? (sio ukapekue pochi lkn)
Ahh, napita tu, mi m-baba. Ila macho hayana pazia. Wakaka tunatembea na keshi kiasi na ATM kadi kwenye wallet, halafu pen na notebook sichezi nazo mbali.
 
Habari zenu Wadada,wamama popote pale mlipo,Mungu ni mwema na anazidi kutupigania siku hadi siku na kutunza familia zetu japo matatizo hapa na pale ni lazima.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.
Kwenye red huonesha hali ya hatari kwa yeyote anayeongozana na navyo kila wakati (isipokuwa kwa safari za mbali kidogo; kama siku mbili au muda unaomfanya akalale huko safarini.... au mazingira fulanifulani yanyoashiria kazi maalum..). So, unless the trip of that woman is very clear, those items indicates unsafe signs....!
Kwenye blue; sawa, lakini si kubeba hadi kwenye pochi huku ukiwa na nyingine kama mtandio...! Huwa na kiasi, unless anasafiri mbali kiasi fulani... au anakwenda mazingira ya kazi maalum... mfano; msibani, hospitalini, kliniki, kuhudumia sherehe kwa shughuli fulanifulani, nk...
Vinginevyo, nikiviona tu, najua hali sio njema kabisa...!
 
Habari zenu Wadada,wamama popote pale mlipo,Mungu ni mwema na anazidi kutupigania siku hadi siku na kutunza familia zetu japo matatizo hapa na pale ni lazima.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.


Pearl naona kwa wadada umemaliza.... Ila guys (from observation) kitu kikubwa kwao ni wallets zinazokua zinaambatanishwa na Cash, ID, Credit cards, Condoms, Passport photo of loved ones, wengine business cards walizopokea recently....
 
ah ah ah lol umenichekesha sana unajua kuna watu hawajuhi siku zao zinakuja lini?yani kalenda yao ya mwezi inabadilika badilika?so vitu hivi lazima awe navyo in case tatizo limetokea aweze kujistiri,mm siwezi kubeba khanga na tandio at the same time its kimoja wapo
Kwenye red huonesha hali ya hatari kwa yeyote anayeongozana na navyo kila wakati (isipokuwa kwa safari za mbali kidogo; kama siku mbili au muda unaomfanya akalale huko safarini.... au mazingira fulanifulani yanyoashiria kazi maalum..). So, unless the trip of that woman is very clear, those items indicates unsafe signs....!
Kwenye blue; sawa, lakini si kubeba hadi kwenye pochi huku ukiwa na nyingine kama mtandio...! Huwa na kiasi, unless anasafiri mbali kiasi fulani... au anakwenda mazingira ya kazi maalum... mfano; msibani, hospitalini, kliniki, kuhudumia sherehe kwa shughuli fulanifulani, nk...
Vinginevyo, nikiviona tu, najua hali sio njema kabisa...!
 
duh sikujua kama zinabeba na ndoms duh kazi kweli kweli
Pearl naona kwa wadada umemaliza.... Ila guys (from observation) kitu kikubwa kwao ni wallets zinazokua zinaambatanishwa na Cash, ID, Credit cards, Condoms, Passport photo of loved ones, wengine business cards walizopokea recently....
 
duh sikujua kama zinabeba na ndoms duh kazi kweli kweli


Hua hawasahau, hata married men wengi tu wanazo ktk wallets... bahati mbaya tu hio condom yaweza kaa hata miezi 6, kila akipata kimwana anasahau kuitumia...
 
Pearl, hapa naona umemalza kila kitu. Nimeangalia niongeze nini, cjaona ulichosahau.
Habari zenu Wadada,wamama popote pale mlipo,Mungu ni mwema na anazidi kutupigania siku hadi siku na kutunza familia zetu japo matatizo hapa na pale ni lazima.
Leo ningependa kuuliza,kushauriana nanyi kama wenzangu,Je ni vitu gani vinatakiwa kuwa katika pochi yako?na je ni lazima kuwa na pochi?Kwangu pochi ni lazima na katika pochi yangu vitu hivi havikosi
-Pads (maybe naweza ingia angani au hata kumsaidia rafiki in case of emergency0
-khanga (labda kupita msibani,au nimechafuka bahati mbaya au rafiki kahitaji)
-Perfume (wakati mwingine kujipulizia)
-kapochi kadogo ka vipodozi (lip bum,powder,kitana,perfume) (urembo kidogo muhim)
-Kadi za Bank and Driving licence(labda nimeishiwa hela kidogo or traffic case)
-Small Diary(To note some important details daily)
-chupi ( ah ah ah hii bana unaweza lala magendo ghafla,kidding,just changing in case ya mwezini)
-Small Bible.(My lovely book,reading it mda wowote nikiwa na kajinafasi hata kaduchu)
Je mwenzangu pochi yako inavitu gani na kwanini?na wababa/wakaka wanatakiwa kutembea na vitu gani?
Nawakalisha.
 
kwakweli lkn dia miezi 6 zi inakuwa haifai tena au?
Hua hawasahau, hata married men wengi tu wanazo ktk wallets... bahati mbaya tu hio condom yaweza kaa hata miezi 6, kila akipata kimwana anasahau kuitumia...
 
Back
Top Bottom