Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,353
Anaonekana kulandana nami!
Hehehehe kama unamfikia hata nusu yake basi hongera sana.
Anaonekana kulandana nami!
Names ain't saying shit about you son! You are shaped by the environment that sorrounds you. No names, no zodiac signs determine that. Cut out the crap
Kwenye bible kuna Yusufu alikataa kutenda dhambi na mke wa bosi wake,
Mi ningekubaliana na wewe ungeniambia wanaume kama jinsia.
Kama alivyofanya Adolf Hitler!
Mfano wako unakosa mashiko coz hawa wa kwenye maandiko Mungu mwenyewd alikua anawasimamia watimize kusudi lake,so walikua sio wao 100%!
ndiyo maana anajiita too proud jina alilopewa mbeya sec jamaa alikuwa na majivuno sana hata kwa totoz yupo pia.Jina alihusiani, kwa hiyo unataka kuniambia ht mweshimiwa wa VINEGA anahusika?!!
unanichanganya unajua?Shizukan,umeuliza why joseph?Naomba ufaham kuwa yapo majina mengi na tabia zake,mimi nimemzungumzia huyu mwingine kesho ataleta mwingine na kuendelea.Pia umeuliza why tabia 3 halafu ni negative ina maana hawana sifa nzuri?Jibu la hili kagua post zangu utaona majibu hapo!Pia umesema mwenye dharau hawezi kubadili wanawake,Jambo usilolijua ni kwamba watu hawa ni ma actor wazuri sana,anapokutana na mtu mpya hujifanya mwema sana,hasa kwa wanawake ndo huact sana.Madai yako ya kutongoza mwanamke sina haja ya kukucomvice unielewe coz haina maana halafu sio shughuli yangu kujadili mambo ya aina hiyo!
Mmmh!km kuna ukweli flan kwa wa3 ninaowafaham mm mmojawapo ni shemeji yangu,ikitokea akasoma hapa lzm atakutafuta lol!