kuna joseph mmoja namjua,
kweli anajipenda na ana dharau kiaina,
sijui kama ni kiwembe,ameoa mzungu,
ila huwa ananiangaliaga kwa jicho la kunitamani.
Mmmh!km kuna ukweli flan kwa wa3 ninaowafaham mm mmojawapo ni shemeji yangu,ikitokea akasoma hapa lzm atakutafuta lol!
we Canta wewe....hebu kwanza Eiyer atupe marejeo ya huo utafiti wake....maanake kaandika tu majina ya miji hapo....la sivyo tunawavictimise kina Papaa Jose lol
Hapa nimecheka sana aisee!
kuna joseph mmoja namjua,
kweli anajipenda na ana dharau kiaina,
sijui kama ni kiwembe,ameoa mzungu,
ila huwa ananiangaliaga kwa jicho la kunitamani.