deo masawe
Member
- Jun 13, 2016
- 25
- 12
Acha porojo
nang,ata kucha za miguuniKuna kawimbo ka pwani kanaimba..."wape wape vodonge vyao, wakimeza wakitema, shauri yao"
Ila ngoja kidogo, kale ka mfumo dume kanaanza kwisha nini? Demu anakutokea live...sasa hapo unakuwa unang'ata vidole ama?
HujamboMakubwa madago yana nafuu
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.
Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...
Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..
Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.
So uhandsome wako umeutambua ukiwa abroad?
Mhhhhhhh mkuu kumbe 'enzi zako' ulikuwa moto hivi?Acha sifa za kijinga ndugu..fanya kazi.Ungekuwa mzuri si ungekuwa na k? Ebo!