Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
tena miye ningetumia super glue kuisiliba hyo d*du iwe functionlesMsiwafanyie hivo Jamani, tafuteni adhabu nyingine, but not this one. Jamaa kateseka hadi huruma.
tena miye ningetumia super glue kuisiliba hyo d*du iwe functionlesMsiwafanyie hivo Jamani, tafuteni adhabu nyingine, but not this one. Jamaa kateseka hadi huruma.
Topaz isingeweza saidia mkuu., bandage ilikuwa imekamata hasa.
Mmmmmmmmmmmmmh!!!!!!! Sasa kama kapigwa soletap simu kachukuaje?
Mbona rahisi. Tumia conc. hydrochloric acid, mwaga kwenye hiyo sellotape (au ni cellotape?) itatoka yenyewe!!!!
solusheni aache kukiss hovyo, sasa dudu itakuwaje?
hapo kwenye red, mafundi wa mtaan wamekuponzaDu tungepata picha yake!!!
Dawa ni rahisi km walivyosema
Mpe salamu Dada F mwambie hilo liDushelelee la jamaa lisije mpeleka Segerea awaachie na wenzake yote yanafanana atafute mitindo jamaa atampenda tu
- kwa cellotape (solution tape) hiyo ni ya nylon kufungia vitu vya umeme (hata iwe seltape karatasi gundi) tumia maji ya uvuguvugu itaanza kuyeyuka na kutoka
- km ni ile ya nyeupe /colourless ya kufungia makaratasi hiyo ni kiboko kanunue petrol au Benzene itayeyuka yote
tena miye ningetumia super glue kuisiliba hyo d*du iwe functionles
Mbona rahisi. Tumia conc. hydrochloric acid, mwaga kwenye hiyo sellotape (au ni cellotape?) itatoka yenyewe!!!!
Dunia ina mambo! I wish hii post ningeisoma 4 yrs ago...kuna kiumbe kingesuffer the same consikwens!