Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Happy Eid wote., ingawa najua kwangu Eid probably sijui itakuwaje.
:focus: Nimepigiwa simu na rafiki yangu like 30 minutes ago kaniambia ana matatizo na amenicall mimi kwa kuwa ni mtu wake wa karibu sana. Wakati ananicall me nilikuwa najiandaa kutoka, lakini akasisitiza sana. Nikasema ngoja nikamsikilize.
Akaniambia nikifika nipite room kwake direct, nikasema sawa ila sitokaa sana, hakujibu neno.
Mi huyo nikachukua ndinga hadi kwake, kama alivyosema nikapita moja hadi room kwake, nilichokiona hakyanani sikuwahi fikiria kuna vitu kama vile. Jamaa alikuwa kalala kitandani mwili mzima kapigwa soltap(Zile karatasi gundi) mwili mzima mbaya zaidi jamaa ana nywele za kumwaga mwilini hadi huwa tunamtania kuwa yupo still kwa transision kuwa binadamu kamili.
Nikapigwa na butwaa, nikauliza ndo mauza uza gani tena hayo, akasema hivi, nanukuu, "Mdogo wangu hii dunia we iache kama ilivyo, najua nastahili adhabu lakini sio hii".
Ikabidi nimuulize nini hasa kimemfanya akufanyie hivo? Jamaa akasema kuwa F alimfumania jamaa anamkiss mdada mwingine bar. Ikabidi nimcall huyo F kumuuliza why amechukua uamuzi kama ule binti akasema amevumilia amechoka, kumbe ashamfumania jamaa sio kukiss tu zaidi ya mara nne. Binti alichoamua ni kumdrug msela then akambeba hadi home. Akamchojoa nguo zote kisha akampiga soltape mwili mzima, I mean except viganjani na kichwani na kwa nyayo.
Nimejaribu kunyofoa sehemu moja, imetoka na nywele, jasho linamtoka hapa jamaa hadi huruma. Atleast zingekuwa za karatasi may be zingesalenda kwa maji, but ni hizi za nailon. Nimemwambia naenda kutafuta msaada, ndo nikasema may be naweza pata msaada hapa.
Ni solution gani ambayo inaweza lainisha hizi gundi ili zitoke bila tatizo?
Please, this is serious.
:focus: Nimepigiwa simu na rafiki yangu like 30 minutes ago kaniambia ana matatizo na amenicall mimi kwa kuwa ni mtu wake wa karibu sana. Wakati ananicall me nilikuwa najiandaa kutoka, lakini akasisitiza sana. Nikasema ngoja nikamsikilize.
Akaniambia nikifika nipite room kwake direct, nikasema sawa ila sitokaa sana, hakujibu neno.
Mi huyo nikachukua ndinga hadi kwake, kama alivyosema nikapita moja hadi room kwake, nilichokiona hakyanani sikuwahi fikiria kuna vitu kama vile. Jamaa alikuwa kalala kitandani mwili mzima kapigwa soltap(Zile karatasi gundi) mwili mzima mbaya zaidi jamaa ana nywele za kumwaga mwilini hadi huwa tunamtania kuwa yupo still kwa transision kuwa binadamu kamili.
Nikapigwa na butwaa, nikauliza ndo mauza uza gani tena hayo, akasema hivi, nanukuu, "Mdogo wangu hii dunia we iache kama ilivyo, najua nastahili adhabu lakini sio hii".
Ikabidi nimuulize nini hasa kimemfanya akufanyie hivo? Jamaa akasema kuwa F alimfumania jamaa anamkiss mdada mwingine bar. Ikabidi nimcall huyo F kumuuliza why amechukua uamuzi kama ule binti akasema amevumilia amechoka, kumbe ashamfumania jamaa sio kukiss tu zaidi ya mara nne. Binti alichoamua ni kumdrug msela then akambeba hadi home. Akamchojoa nguo zote kisha akampiga soltape mwili mzima, I mean except viganjani na kichwani na kwa nyayo.
Nimejaribu kunyofoa sehemu moja, imetoka na nywele, jasho linamtoka hapa jamaa hadi huruma. Atleast zingekuwa za karatasi may be zingesalenda kwa maji, but ni hizi za nailon. Nimemwambia naenda kutafuta msaada, ndo nikasema may be naweza pata msaada hapa.
Ni solution gani ambayo inaweza lainisha hizi gundi ili zitoke bila tatizo?
Please, this is serious.