Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,319
12,622
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea na kusahihisha makosa Yao ndani ya timu zao. Timu za Simba, Yanga na Azam Zina miundombinu na mabechi mazuri ya ufundi, ndizo zingepaswa kutoa washambuliaji wazuri kwenye timu Yao ya Taifa lakini wapi wee, wanawatumia wageni ambao wanatufunga tunapokutana nao kwenye mashindano ya CAF.

Lawama ingine kubwa iende kwenye uteuzi wa timu, tumeteua wachezaji kutoka nje wengi ambao hatuwajui vizuri na kuwaacha tunaowajua vizuri akina Mwenda, Mzize, kyombo na wengine. Hawa vijana wangeenda kule wangejifunza mengi sana.

Lawama ingine ni wizara ya michezo, inaonekana zaidi wakati wa mashindano zaidi kuliko wakati wa maandalizi ya wachezaji. Hi serikali haioni kuwa wachezaji 12 kila timu inaiua timu ya Taifa? Viwanja vyetu vingi ni vya CCM na vibovu, viwanja vya serikali vizuri viko wapi? Kwanini serikali haihoji timu kubwa kukosa viwanja au kwaajili ya conflict of interest ña viwanja vya CCM na uwanja wa taifa dhidi ya viwanja vya timu? Maana wanajua kama kila timu ikimiliki uwanja wake viwanja vya CCM vitabaki vya kichezea magwaride ya sherehe za muungano. Vijana wa makocha wazuri? Vitaru vya watoto viko wapi? Sera ya michezo ipo? shule Zina viwanja?
 
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea na kusahihisha makosa Yao ndani ya timu zao. Timu za Simba, Yanga na Azam Zina miundombinu na mabechi mazuri ya ufundi, ndizo zingepaswa kutoa washambuliaji wazuri kwenye timu Yao ya Taifa lakini wapi wee, wanawatumia wageni ambao wanatufunga tunapokutana nao kwenye mashindano ya CAF.

Lawama ingine kubwa iende kwenye uteuzi wa timu, tumeteua wachezaji kutoka nje wengi ambao hatuwajui vizuri na kuwaacha tunaowajua vizuri akina Mwenda, Mzize, kyombo na wengine. Hawa vijana wangeenda kule wangejifunza mengi sana.

Lawama ingine ni wizara ya michezo, inaonekana zaidi wakati wa mashindano zaidi kuliko wakati wa maandalizi ya wachezaji. Hi serikali haioni kuwa wachezaji 12 kila timu inaiua timu ya Taifa? Viwanja vyetu vingi ni vya CCM na vibovu, viwanja vya serikali vizuri viko wapi? Kwanini serikali haihoji timu kubwa kukosa viwanja au kwaajili ya conflict of interest ña viwanja vya CCM na uwanja wa taifa dhidi ya viwanja vya timu? Maana wanajua kama kila timu ikimiliki uwanja wake viwanja vya CCM vitabaki vya kichezea magwaride ya sherehe za muungano. Vijana wa makocha wazuri? Vitaru vya watoto viko wapi? Sera ya michezo ipo? shule Zina viwanja?
Wachezaji watz wanaocheza nje hata kwenye tv hawaonekani wanachezea timu gani. Kucheza Ulaya sio kigezo. Hapa ndipo tulipofeli.
 
Kina mzize , kibabage, mkude na wengine walikuwepo Kufanikisha kufuzu afcon wakaachwa na mualgeria eti kupisha wachezaji wa nje wanaocheza daraja la 5 na 7!

Benard Kamungo alikuja wakati Fulani akaona ubabaishaji Tff akarudi USA .

Kuna kijana anakipaji anaitwa Nestory Tff hawaonyeshi juhudi yoyote Hata kuzungumza nae .
 
Kina mzize , kibabage, mkude na wengine walikuwepo Kufanikisha kufuzu afcon wakaachwa na mualgeria eti kupisha wachezaji wa nje wanaocheza daraja la 5 na 7!

Benard Kamungo alikuja wakati Fulani akaona ubabaishaji Tff akarudi USA .

Kuna kijana anakipaji anaitwa Nestory Tff hawaonyeshi juhudi yoyote Hata kuzungumza nae .
Mzize?, Mkude?...unazingua mkuu.
 
Mzize?, Mkude?...unazingua mkuu.
Brother , Naamini kungekuwepo na combination ya mzize na kibu plus msuva tungepata matokeo .
Mzize amefundishwa hata kukaba.

Hata France , Giroud alionekana Hafungi au kufanya kitu kikubwa lakini alikuwa na kazi maalumu ya kupunguza mabeki wawe busy kwake ili nafasi ipatikane .
Mzize ni mpambanaji na siku akiwa Kwenye form ni hatari.
 
Kina mzize , kibabage, mkude na wengine walikuwepo Kufanikisha kufuzu afcon wakaachwa na mualgeria eti kupisha wachezaji wa nje wanaocheza daraja la 5 na 7!

Benard Kamungo alikuja wakati Fulani akaona ubabaishaji Tff akarudi USA .

Kuna kijana anakipaji anaitwa Nestory Tff hawaonyeshi juhudi yoyote Hata kuzungumza nae .
Nestory Irakunda anaenda Bayern huyu dogo
 
Kwa wale wenye kufahamu soka letu si Dhani kama wanaweza kuwatupia lawama Tff.
Mimi nawapongeza wote, Tff, wachezji, wadau Kila mmoja kwa kupambania na kufanikisha kupata point 2 katika michuano hii ya AFCON.
Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2.

Tunawachezaji wengi wa ndani ambao hawapati ushindani wa kutosha kuwezesha kushindana AFCON, atakama tunge waongeza wakina Mzize, Kibabage, Kijiri, Islael Mwenda n.k wasinge kuja na matokeo zaidi ya Aya tuliyo yapata.

Kwasasa kwakua hatuna njia ya kuwapeleka wachezaji nje na hatuna uraia pacha unao zibeba nchi nyingi kwenye AFCON, TFF kwa kushirikiana na wadau wakae pamoja na kutafuta njia ya kupata ushindani wa kutosha katika ligi yetu uku tukiangalia namna ya kuwezesha vijana wengi watoke na kwenda kwenye ligi zenye ushindani.
Tuanze na makocha wa kufundisha vijana, viwanja na vifaa vya michezo.

Tupunguze kasoro kwa waamuzi, Tupunguze upendeleo wowote kwa baadhi ya vilabu, tuache mpira uchezwe bila mbeleko ili ushindani uonekane.

Wachezaji wetu wajifunze kupitia AFCON kua kipaji pekeyake hakina msaada wowote bila mazoezi makali ya kujiua na kujituma kwa viwango vya juu ili wale mema ya Nchi.
 
Kwa wale wenye kufahamu soka letu si Dhani kama wanaweza kuwatupia lawama Tff.
Mimi nawapongeza wote, Tff, wachezji, wadau Kila mmoja kwa kupambania na kufanikisha kupata point 2 katika michuano hii ya AFCON.
Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2.

Tunawachezaji wengi wa ndani ambao hawapati ushindani wa kutosha kuwezesha kushindana AFCON, atakama tunge waongeza wakina Mzize, Kibabage, Kijiri, Islael Mwenda n.k wasinge kuja na matokeo zaidi ya Aya tuliyo yapata.

Kwasasa kwakua hatuna njia ya kuwapeleka wachezaji nje na hatuna uraia pacha unao zibeba nchi nyingi kwenye AFCON, TFF kwa kushirikiana na wadau wakae pamoja na kutafuta njia ya kupata ushindani wa kutosha katika ligi yetu uku tukiangalia namna ya kuwezesha vijana wengi watoke na kwenda kwenye ligi zenye ushindani.
Tuanze na makocha wa kufundisha vijana, viwanja na vifaa vya michezo.

Tupunguze kasoro kwa waamuzi, Tupunguze upendeleo wowote kwa baadhi ya vilabu, tuache mpira uchezwe bila mbeleko ili ushindani uonekane.

Wachezaji wetu wajifunze kupitia AFCON kua kipaji pekeyake hakina msaada wowote bila mazoezi makali ya kujiua na kujituma kwa viwango vya juu ili wale mema ya Nchi.
Zile points 2 sifa ziende kwa Juma mgunda na Morocco, baaasi.
 
Kwa wale wenye kufahamu soka letu si Dhani kama wanaweza kuwatupia lawama Tff.
Mimi nawapongeza wote, Tff, wachezji, wadau Kila mmoja kwa kupambania na kufanikisha kupata point 2 katika michuano hii ya AFCON.
Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2.

Tunawachezaji wengi wa ndani ambao hawapati ushindani wa kutosha kuwezesha kushindana AFCON, atakama tunge waongeza wakina Mzize, Kibabage, Kijiri, Islael Mwenda n.k wasinge kuja na matokeo zaidi ya Aya tuliyo yapata.

Kwasasa kwakua hatuna njia ya kuwapeleka wachezaji nje na hatuna uraia pacha unao zibeba nchi nyingi kwenye AFCON, TFF kwa kushirikiana na wadau wakae pamoja na kutafuta njia ya kupata ushindani wa kutosha katika ligi yetu uku tukiangalia namna ya kuwezesha vijana wengi watoke na kwenda kwenye ligi zenye ushindani.
Tuanze na makocha wa kufundisha vijana, viwanja na vifaa vya michezo.

Tupunguze kasoro kwa waamuzi, Tupunguze upendeleo wowote kwa baadhi ya vilabu, tuache mpira uchezwe bila mbeleko ili ushindani uonekane.

Wachezaji wetu wajifunze kupitia AFCON kua kipaji pekeyake hakina msaada wowote bila mazoezi makali ya kujiua na kujituma kwa viwango vya juu ili wale mema ya Nchi.
Kaka exposure ni jambo kubwa katika kufanilisha mission. Wachezaji wetu hawapi exposure kubwa ndani ya timu kutokana na wageni wengi na hawakupata exposure AFCON, wameachwa nyumbani, watakuwa lini? Tanzania kwasasa hatuna mshambuliaji mzawa zaidi ya Mzize, ambae nae ameachwa AFCON hii, unadhani AFCON ijayo atakawa Bora kutoka wapi?
 
Kina mzize , kibabage, mkude na wengine walikuwepo Kufanikisha kufuzu afcon wakaachwa na mualgeria eti kupisha wachezaji wa nje wanaocheza daraja la 5 na 7!

Benard Kamungo alikuja wakati Fulani akaona ubabaishaji Tff akarudi USA .

Kuna kijana anakipaji anaitwa Nestory Tff hawaonyeshi juhudi yoyote Hata kuzungumza nae .
Ukute alivokuja wakamuomba hela akaona kuna ujinga mwingi
 
Back
Top Bottom