Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

Kama Hawa boda boda wao wanavurugu Sana mwendo mkali ,misauti ya piki piki mikubwa .

Leo mida ya saa mbili hapa mwanama nimepigwa na side mirror ya gari ,jamaa na kiaist chake kimenifata kabisa upande wa watembea kwa miguu alikuwa speed ,bahati nzuri side mirror Yake mbovu imenigusa kidogo tu imejikunja lkn mauvi yake kama nimepigwa Kofi zito
Side mirror makini ikikugonga lazima ijikunje.

Ushamba mzigo
 
wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli
 
wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli
Mtapasuka bure kwa wivu na nyie hamna makwenu?
 
Ndugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabaran mjjandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yalata 8 kwa ajali. Yawafaa nn?

View attachment 2041879
Drive safely. 80kph unafika uendako raha mstarehe kabisa. Hakuna sababu ya kutembea 120-160/170, unawahi nini nyumbani? Magari yetu yamekuwa makaburi yetu, kisa nilitumia saa chache sana kufika home
 
Side mirror makini ikikugonga lazima ijikunje.

Ushamba mzigo
Ulikuwepo eneo la tukio mkuu au ww ndio ulikuwa deleva ,sio ww tu hata mm naelewa side mirror inajikunja Lkn jaribu kuvuta picha side mirror mbovu inakuje

Au tuseme tu hujawai kushuhudia(kusikia) ajali ya mtu kubamizwa na side mirror na ikamrusha.

Dickhead
 
umeandika kama vile utaish milele
Hata wewe hapo hutaishi milele.

Sasa kwanini ukiugua unaenda hospitali?

Kwanini ukiwa unatembea barabarani, umatembea pembeni na siyo katikati kwenye njia ya magari.

Kwanini ukitaka kuvuka barabara unaangalia kulia na kushoto na kama hakuna magari ndio unavuka.

Haya yote unafanya ya nini wakati kama ni KUFA UTAKUFA tu?
 
wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli

Punguza wivu na makasiriko mkuu
Jifunze hata kuandika kuliko kuendekeza chuki
Ni Twitter sio tweeter
Pathetic!
 
Hao sawa na Wana wa Israel Mungu amewapa akili na Mali lkn wakaidi balaa ...acha wafe tu...hata Musa alipowavusha jangwani Bado walimfanyia ujeuri...
 
wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli
Now this is hate

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu ajali kaskazini kwa kipindi hiki sidhani kama ni nyingj kama unavyokuza. Halafu wale akina kimambo ni jamaa zangu. Mbona wale huwa ni throughout the year wanasafirigi? Wapumzike kwa amani. Nachojua ni barabara inakuaga busy sana na fujo ila ajali hapana. Kwanza kunakuaga na foleni sana.

Tukutanee week hii

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom