Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Hii ni kutokana na mapendekezo ya tume ya Warioba kupingwa kuhusu elimu ya mbunge walau awe kidato cha nne. Wajumbe waliopo dodoma wanataka awe anajua kusoma na kuandika kweli maajabu hayataisha Tanzania