Ni mkopo ndiyo; lakini kumbukeni kila senti wanayokopa wabunge serikali huchangia 50%. Wakichukua Tshs 120m kumbukeni serikali itatoa ruzuku ya Tshs60m kwa kila mbunge.huu ni mkopo wapewe tu
Wapewe tu,si wanakopa bana,ingekuwa hawarejeshi sawa
Na swala la posho nalo liangaliwe..Laki na nusu per day zinawatosha
Wapewe tu,si wanakopa bana,ingekuwa hawarejeshi sawa
Hivi huwa manasoma habari yote au unarukia? unaambiwa katika huo mkopo nusu serikali nusu mbunge!huu ni mkopo wapewe tu
Najua hilo mkuu..Ila sidhani kama zinaweza kufutwa..Labda kupunguzwaYa nini hio??Bado ni kubwaa mnoo!!Mshahara wa milion 12 per month unatoshaa saana !!sasa posho ya nn??Ina maana ile sindo kazi yao??
BUNGE NI TAASISI INAYOONGOZA KUKUMBATIA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA
Kwa kweli hii inasikitisha na kuhudhunisha sana.....na tena inakatisha tamaa.....ni vigumu kuamini kuwa wale waliokuwa wakijinadi kwenye kampeni kuwa ni watetezi wetu sisi wanyonge.....ambao wengi ni mafukara.....tena wengine walikuwa wanadiriki hata kushiriki milo nasi kumbe ile ilikuwa ni usanii tu wa kupata kura......na sasa ndio tunaziona ngozi zao halisi......
Siamini kwamba kweli hawa wawakilishi kwa huo mkopo wa shilingi millioni 90 wanaishindwa kupata gari ya kutembelea na kuwafikia wananchi kwa urahisi.....
Nakumbuka wao ndio waliokuwa mstari wa mbele kuishutumu serikali iliyopo MADARAKANI kwa ubadhirifu wa fedha.....kwa matumizi ya kijinga na ya kipumbavu....
Sasa na WAO wana ulazima gani wa kutembelea gari la zaidi ya milioni 130 mbele ya wananchi ambao ni mafukara na hawana UHAKIKA wa kuiona kesho wakiwa hai.....hii ni dhihaka kwa wapiga na walalahoi wote wa taifa hili masikini linalojitahidi kujitoa HUKO shimoni......
Si wakakope kama haziwatoshi ebhooo kwa nini mnataka kuendekeza watu watu wanaotaka dream life??!!
Mbunge wa kiti maalumu 1kz anaenda nayo wapi????
Mbunge wa Kinondoni, Ilala, Arusha mjini, Moshi mjini hawa wanaenda wapi na Hard top au LX??!!
Ukweli ni kuwa hawahitaji magari ya aina moja, serikali iachane nao kabisa ofisi ya bunge iwe guarantor wakakope kwa mishahara yao uone kama watanunua hayo magari. . . .. .
Imetosha sasa
Waache upuzi ,utakuta wengi ni wa cdm maana kwenye nshu za pesa hawagomi
Sawia Mkuu tatizo watu wanashindwa kutofautisha mkopo na kupewa,ndio maana wameshupalia kinomaMbona mnajadili ujinga wewe unaambiwa ni mkopo kwani tangu lini mtu kapangiwa achukue ngapi mkopo ni haki yao na jinsi ya kutumia wanajuwa wao hivyo kuingiza maneno ni ujinga