GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Dollar za kimarekani ziliadimika hivyo ilifanya biashara kwetu wakinga kuwa ngumu kidogo na Mimi pia nilikaa kimya kutafuta dollar ili kuweza kuagiza mizigo ya biashara, Kwa bahati nzuri hata Nairobi nao dollar ilikuwa shida kwao
Turudi kwenye mada kwa sisi wana ccm na mambo yanayoendelea
Mrisho Gambo wa Arusha mjini na Dkt Tulia Ackson wa Mbeya mjini kuwashambulia wana ccm wenzenu hakuwezi kuwasaidia kushinda ubunge 2025,Mngeyafanya hayo wakati ule Rais ni Rais na Mwenyekiti ni Mwenyekiti kweli kweli
Ndani ya ccm hali ni shwari na bahari imetulia, Hali ni mbaya na tete kwa wabunge waliobebwa kwa mbeleko ya Mwenyekiti wa wakati huo mwaka 2020 na Bashiru Ally, Hili ni kundi lililoingia bungeni kwa kulazimisha matokeo
Hawa watu hawakuwa na Sera wala ushawishi wowote ule mbele ya wajumbe wa ccm asilia na mbele ya wapiga kura bali nguvu na hofu ya Mwenyekiti kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 ndio walipata nafasi za ubunge
Sasa wameanza kupinga kila kitu na kuhoji ili kuonyesha utofauti kuwa wao si wa kundi la mbeleko
Mimi ni muhanga niliyeponea chupu chupu kukatwa kwenye kura za awali za wajumbe ingawa wajumbe walinikubali hivyo sikubebwa kwa mbeleko bali uwezo wangu binafsi na wala siogopi uchaguzi wa 2025
Jambo kubwa alilolifanya Samia ni kuhitimisha mpango wa pale Lindi, Rais Samia aliamua kulizika rasmi kundi la Sukuma Gang kwa kumuondoa mtendaji mkuu na mratibishaji muhimu wa pale lindi,
Kuondolewa kwa Katibu tawala pale lindi bwana Ngusa Samike ndio ilihitimisha rasmi kambi ya kubebwa kwa mbeleko yaani Sukuma Gang
Katika hali ya kawaida kwenye kura za maoni hakuna mtu wa kuweza kumkata Andrew Chenge ubunge ni mwenyekiti tu
Arusha mjini na Mbeya mjini ni ngumu sana kwa ccm kushinda, Arusha mjini na Mbeya mjini sio maeneo ya kuleta porojo kama Singida au Newala huko
Arusha mjini na Mbeya mjini watu wametengeneza loyalty kwa upinzani iwe shida au raha
Katika maeneo ambayo upinzani hautumii nguvu ni Kawe Dar es Salaam na maeneo yote yenye watu wanaojitambua
Ahaaa Nakumbuka Mwita waitara alivyoamua kukimbia ukonga Dar na kwenda porini huko alifahamu fika Ukonga Dar sio sehemu za poroja za ccm
Baadhi ya majimbo kama jimbo langu upinzani hauwezi kushinda kabisa sio kwa sababu ya fitina bali wananchi wanaambiwa ukweli kuhusu miradi itakayofanyika na ambayo haitafanyika, Hakuna porojo
Ukweli unabaki ukweli mwezi wa pili, tatu na huu nne Nimewaambia wananchi wangu kuna shida ya dollar za kimarekani tukitaka kuagiza bidhaa hivyo wananchi wangu wote wanafahamu wafanyabiashara wana shilingi lakini dollar za kuagiza bidhaa unapata kwa mgao
Turudi kwenye mada kwa sisi wana ccm na mambo yanayoendelea
Mrisho Gambo wa Arusha mjini na Dkt Tulia Ackson wa Mbeya mjini kuwashambulia wana ccm wenzenu hakuwezi kuwasaidia kushinda ubunge 2025,Mngeyafanya hayo wakati ule Rais ni Rais na Mwenyekiti ni Mwenyekiti kweli kweli
Ndani ya ccm hali ni shwari na bahari imetulia, Hali ni mbaya na tete kwa wabunge waliobebwa kwa mbeleko ya Mwenyekiti wa wakati huo mwaka 2020 na Bashiru Ally, Hili ni kundi lililoingia bungeni kwa kulazimisha matokeo
Hawa watu hawakuwa na Sera wala ushawishi wowote ule mbele ya wajumbe wa ccm asilia na mbele ya wapiga kura bali nguvu na hofu ya Mwenyekiti kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 ndio walipata nafasi za ubunge
Sasa wameanza kupinga kila kitu na kuhoji ili kuonyesha utofauti kuwa wao si wa kundi la mbeleko
Mimi ni muhanga niliyeponea chupu chupu kukatwa kwenye kura za awali za wajumbe ingawa wajumbe walinikubali hivyo sikubebwa kwa mbeleko bali uwezo wangu binafsi na wala siogopi uchaguzi wa 2025
Jambo kubwa alilolifanya Samia ni kuhitimisha mpango wa pale Lindi, Rais Samia aliamua kulizika rasmi kundi la Sukuma Gang kwa kumuondoa mtendaji mkuu na mratibishaji muhimu wa pale lindi,
Kuondolewa kwa Katibu tawala pale lindi bwana Ngusa Samike ndio ilihitimisha rasmi kambi ya kubebwa kwa mbeleko yaani Sukuma Gang
Katika hali ya kawaida kwenye kura za maoni hakuna mtu wa kuweza kumkata Andrew Chenge ubunge ni mwenyekiti tu
Arusha mjini na Mbeya mjini ni ngumu sana kwa ccm kushinda, Arusha mjini na Mbeya mjini sio maeneo ya kuleta porojo kama Singida au Newala huko
Arusha mjini na Mbeya mjini watu wametengeneza loyalty kwa upinzani iwe shida au raha
Katika maeneo ambayo upinzani hautumii nguvu ni Kawe Dar es Salaam na maeneo yote yenye watu wanaojitambua
Ahaaa Nakumbuka Mwita waitara alivyoamua kukimbia ukonga Dar na kwenda porini huko alifahamu fika Ukonga Dar sio sehemu za poroja za ccm
Baadhi ya majimbo kama jimbo langu upinzani hauwezi kushinda kabisa sio kwa sababu ya fitina bali wananchi wanaambiwa ukweli kuhusu miradi itakayofanyika na ambayo haitafanyika, Hakuna porojo
Ukweli unabaki ukweli mwezi wa pili, tatu na huu nne Nimewaambia wananchi wangu kuna shida ya dollar za kimarekani tukitaka kuagiza bidhaa hivyo wananchi wangu wote wanafahamu wafanyabiashara wana shilingi lakini dollar za kuagiza bidhaa unapata kwa mgao