+mgao=kifoKheri maboksi kuliko mavumbi....
Kuna kazi leo...
Nashauri Dr. John Magufuli apatiwe wizara ya Nishati na Madini. Ngeleja kapwaya muda mrefu sana!
Ngeleja anatoa maoni yake, anshukuru michango ya wabunge wote. Anajitetea kuwa ni human error kwenye kasoro za bajeti yake! I ove this country
Amegeuza TANESCO kuwa Shirika la Mgawo wa Umeme Tanzania halafu anaongoza wizara inayotoa rushwa.Taja kosa ama makosa yake bana....
Kigwangwala kataja leo,Kilango alitaja,Jairo alishauriwa ngeleja na hakukurupuka tu...acha ukabila banaaa NN ...Ngeleja aondoke zakeTaja kosa ama makosa yake bana....
yaani huoni kosa mtani? upo wizarani nini
Hiyo tamu mkuu.
Samahani wakuu, huyo Jairo ndo nani tena?
Unfortunately, hao watu unaowasema wachukuliwe hatua ni marafiki zake rais wenu mpendwa.Hii ni rushwa na kwa kweli huu ndiyo wakati ambao Rais wetu mpendwa anatakiwa kuchukua hatua za haraka kuwatia adabu watu hawa ambao wanatumia fedha za umma kuhonga na kupitisha mambo amabyo si ya maslahi ya umma.