Wabunge waigeuka TANESCO

Nyumba haiwezi kusimama yenyewe bila Msingi na nguzo za kuishikilia.

TANESCO bado imeshikiliwa serikalini na kuna watu wana maslahi humo,kwa hiyo menejimenti yenyewe haiwezi kufurukuta na kusema tunataka tufanya hiki na kile na kupingana na serikali.Wako chini mwamvuli wa serikali na kuna bodi ya wakurugenzi walioteuliwa na serikali kuiendesha.Watasema hili na lile lakini chimbuko kuu la uozo wote ni serikali na mikataba mibovu

Ndo maana Wenyeviti wa bodi wapo kulinda maslahi ya kifisadi ya sirikali.Siyo kwamba hawa TANESCO hawajui kwamba watu wanalalamika kucheleweshewa kuunganisha umeme,la hasha.Kwa sababu ya mfumo mbovu wa kupeana vijisenti kutoka juu kileleni(wizarani) hadi shinani kwenye menejimenti.Watu wapo kwa maslahi yao na pia kulinda maslahi ya mafisadi kadhaa.

Hakuna asiyejua huko serikalini kwamba ukitaka umeme leo wa rushwa tena unapata baada ya siku mbili na luku ikiwa imesajiliwa kabisa katika kituo cha manunuzi.(Luku VENDING STATIONS).Pia taasisi nyingi za serikali hawalipi umeme?

Tulikuwa kwenye sherehe fulani za Taifa Mikoa ya kusini,lilitoka tamko tu iletwe pale mita na ukaunganishwa umeme katika banda ukautumika,je huo analipa nani?

Mimi namuunga mkono msemaji mmoja(MADELA WA ....),NO MORE COMEDIANS IN PARLIAMENT.CAST YOUR BALLOT PERFECTLY.

Kwa nini tuwape kula watu ambao hawatusaidiii??????????????/
 
Mfano wa kukataa kuburuzwa ni huu uliotokea Marekani hivi karibuni.

http://www.nytimes.com/2008/04/22/business/media/22dow.html?th&emc=th

Editor wa Wall Street Journal anajiuzuru baada ya kutokukubaliana na kule MWENYE gazeti Rupert Murdoch anakotaka kulipeleka gazeti. Hii ni pamoja na kuingiliwa katika utendaji wake. Hakulalamika tu bali amejiuzuru. Sisi technocrats wa kitanzania tunalalamika chini chini halafu tunajiunga katika karamu ya kula! Mabo ya kilipuka tunajitetea kuwa tuliwaeleza lakini walikataa kutusikiliza! Kwa hiyo?
 
Haya Mwanangu, baadhi ya Wadanganyika ndivyo tulivyo. Mafisadi wameishinikiza management ya TANESCO kusaini mikataba ya kifisadi si mmoja, si miwili, si mitatu, si minne bali mitano(IPTL, Net Group, Richmond, Songas na Kiwira Coal Mining) TANESCO inalipa zaidi ya bilioni 100 kwa mwaka kwa IPTL na Richmond bila ya kuweka malipo ya mwaka ya Songas na Kiwira. Hatujui wale makaburu wa Net group walilipwa kiasi gani maana mpaka hii leo malipo hayo yanafanywa SIRI KALI.

Wahusika waliosababisha kuongezeka kasi ya kuzorota TANESCO tunawajua ala Mkapa and company na wanaendelea kutanua mtaani, lakini wewe umeng'ang'ana kutaka kuwalaumu watendaji wakuu wa TANESCO pamoja na ripoti ya CAG inayowataja wahusika ni kutoka wizarani.

Haya rusha lawama zako zote kwa watendaji wakuu wa TANESCO wakati mafisadi wakiendelea kutanua.
 
Hivi kweli unaamini matatizo yanatokana na hiyo mikataba peke yake? Naona mimi na wewe tunasoma ripoti za CAG tofauti. Usiniwekee maneno kinywani kwangu. Mimi sijawahi kusema kuwa watendaji peke yao ndio waliosababisha kuzorota kwa shirika hili. Ninachokisema mimi ni kuwa PAMOJA na hiyo mikataba mibovu, watendaji wa Tanesco nao wamechangia katika matatizo yanayolikabili shirika. Ni wewe ndiye usiyetaka kusikia lolote baya likizungumzwa dhidi ya watendaji wa Tanesco na kudai kuwa matatizo YOTE yamesababishwa na hiyo mikataba. Hilo siwezi kukubaliana nalo kabisa maana nimeiona Tanesco tangu wakati wa uongozi wa Kasambala. Nakushangaa utasemaje kuwa wakina Mkapa WAMEONGEZA kasi ya kuzorota kwa shirika halafu ukakataa kuwa watendaji nao wanahusika. Si umekiri kuwa shirika liliishazorota ila hawa waheshimu waliongeza kasi ya kwenda kaburini? Au vidole viliteleza wakati wa kuandika?
 
Bubu na Fundi,

Nyote ni washkaji zangu, naomba niwape nondo kwa mtazamo mwingine kabisa na mjiulize kama huu mradi wa kubinafsisha Tanesco na ugavi wa umeme una manufaa kwa Taifa au kwa wajanja wachache waliokwisha chora dili za kuvuna kama usanii wa kiwira.

Ukiangalia historia, utagundua kuwa pesa tulizotumia tangu 1992-2008 kwa ajili ya mikataba ya kusaidia Tanesco ambayo imefanywa kwa mipango na shinikizo la Serikali, ni pesa nyingi ambazo kama Tanesco ingeshinikizwa kutumia au kukopa pesa hiv=zo kutoka Serikali kuu kurekebisha uzalishaji umeme, Tanesco ingetumia labda sana sana kiasi cha 50% ya pesa tulizokwisha potza katika Upatu na Ponzi scheme za IPTL, RDC na upupu mwingine.

There is a delibarate move to incapacitate Tanesco so that the new laws will empower the new power players in the field including Kiwira.

Ni sawa tuwe na ushindani wa kibiashara, lakini tuwe makini kujiuliza ni vipi kuna kuwa na msukumo wa ajabu kama ule wa sheria za madini au ule wa kuuza mashirika?

Je EWURA na wizara mama wameshajiuliza kama wakiipa Tanesco fedha inazohitaji, na wao kama mamlaka wakaratibu mipango hii ya umeme, je kutakuwa na tatizo gani?

Je pesa za IPTL na Richmond tunazopoteza kila siku inakuwaje bado Taifa lina shida kubwa ya ugavi wa umeme?

Leo hii Kiwira is set to make mega billions kwa kuanza kuuzia any power company including Tanesco makaa. Je ni nani atakayefaidika?

Tunaunda sheria mpya mpya ili kuhalalisha uharamia kwa kisingizio cha ushindani na kuongeza ufanisi.

Ufanisi my foot!
 
Mchungaji,
Mimi bado nakataa kuwa kuwatupia pesa Tanesco kabla ya kulirekebisha shirika hilo kutasaidia kitu. Haya mashirika yamebebwa miaka chungu mzima na wakati umefika wa kuhakikisha kuwa wanaweza kudiliva. Tusipofanya hivyo nina hakika baada ya miaka michache tutarudi wenyewe kofia mkononi tukitafuta wakutunusuru na watakaojitokeza ni matapeli watupu.

Hii habari nimeiona leo kwenye BBC. Ni lini Tanesco wangefika huko kuwapelekea umeme hawa ndugu zetu wa Singida? Mtazamo wao umebaki uleule wa kuunganisha kwenye grid ya taifa na kutumia traditional means za kujeneret huo umeme (Kama ni wao ndio walioileta hii kampuni, nawaomba radhi).


International Version

About the versions

Page last updated at 23:13 GMT, Monday, 21 April 2008 00:13 UK
E-mail this to a friend Printable version

Wind of change blows in Tanzania

By Daniel Dickinson
BBC News, Singida, central Tanzania



They have seen the future - but will it work?
A group of villagers gather at the local bicycle repair shop at Njiapanda, a dusty roadside hamlet on the rift valley in Singida region in central Tanzania, to marvel at magazine pictures of massive electricity-generating wind turbines.

They have never seen anything like this before and are clearly impressed.

They will soon find out exactly what the turbines are like. In a matter of months, 24 of these 100m-plus-high power generators will be erected next to their homes, as part of the first commercial wind farm in sub-Saharan Africa.

This is one of the poorest parts of Tanzania. There is little agriculture, no industry, but one thing there is plenty of is wind.

It is an untapped resource, but one which could hold the key to providing much-needed electricity to central and northern Tanzania and kick-starting the development of the region.

The people of Singida are expecting a lot of this project

Regional Commissioner Parseko Kone


The 24 turbines, which should be in operation within 18 months, will generate 50 megawatts (MW) of power, almost 10% of Tanzania's current power needs.

The company behind the $113m project is Wind East Africa. "It's important that Tanzania diversifies its power sources," says project manager Mike Case.

"The country is very reliant on hydro-electric power, which means in times of drought, there is a power deficit. Oil-generated power is very expensive, so wind power offers a cheaper and more reliable alternative."

Fewer blackouts

The demand for power in Tanzania is growing by more than 50 MW a year, fuelled partly by an expansion of gold and nickel mining in the north of the country.

At present, electricity is sourced from power plants more than 1000km away. The wind farm at Njiapanda will mean that power-hungry industries will soon be provided with electricity generated locally.


Electricity bills are unlikely to be reduced


The wind farm will benefit the local economy, providing jobs during the construction phase and a handful of jobs when it is up and running.

Regional Commissioner Parseko Kone is also hoping the rest of his impoverished region will profit.

"The people of Singida are expecting a lot of this project," he says.

"They're hoping it will help to develop our economy and because wind is free, they're also expecting cheaper electricity tariffs."

It is unlikely that tariffs will come down, as electricity is already heavily subsidised, but it does mean that Tanzanians can expect fewer power blackouts.

Power play

Wind power on a commercial scale is unknown in sub-Saharan Africa, despite the existence of constantly blowing and consistently strong winds, especially along the top of the rift valley, the mountain plateau which runs through East Africa from Ethiopia to Malawi and Mozambique.

In Europe, the industry is well developed. Germany, the European leader in terms of generation, produces more than three gigawatts of power (3000 MW) from wind turbines. The target in many European countries is to have 50% of all power generated by wind.


Wind is plentiful but under-exploited in central Tanzania


Africa is now set to benefit from the progress made in Europe. The equipment is becoming cheaper, as well as more robust.

According to wind expert Dr Ladislaus Lwambuka, from the University of Dar es Salaam, Africa is now ready for wind power on a commercial scale.

"If the Wind East Africa project is a success, then it could lead to more wind farms, not just in Tanzania but in the rest of Africa, particularly along the rift valley, where we know the winds are strong."

There are already plans, if the first phase of the project goes well, to double the number of wind turbines and increase Wind East Africa's output to up to 100 MW.

The people of Njiapanda and the surrounding dusty plateau may not know it now, but this small part of the rift valley will, by then, be the epicentre of wind power in sub-Saharan Africa.

Ni mitazamo kama hii ya kutetea wale waovu kwa sababu tu ni wenzetu ndiko kulikotufikisha waafrika mahali hapa tukiingalia Zimbabwe inamong'onyoka. Mikataba hii yote tunayoilalamikia isingepita kama watendaji na washauri wangesimama kidete kuikataa. Badala yake ndiyo hayo tunasikia wengine wameajiriwa na makampuni hayo hayo na wengine walipokea vijisenti kutoka AC!
 
Vidole vyangu huwa havitelezi...:) Shirika lilikuwa linadai more than 70 billion shilingi toka kwa taasisi mbali mbali za serikali ikiwamo majeshi na polisi. Serikali ilikuwa hailipi, walipokuja Net group fisadi Mkapa akaamuru deni lote lilipwe na wale makaburu wakalipwa percentage fulani eti kwa kuwa wakusanyaji wazuri wa madeni. Huko Z'bar kuna deni kubwa la TANESCO halilipwi kutokana na mambo ya muungano. Haya yote yako nje ya Watendaji wakuu wa TANESCO. Wao pia wanahusika kwa namna moja au nyingine kwa kuzorota TANESCO lakini asilimia yao ya hilo ni ndogo sana ukilinganisha na ile iliyosababishwa na mikataba ya kifisadi na maamuzi ya serikali ya kutolipa madeni yake ili TANESCO iweze kuimarisha huduma zake. Shirika lina madeni zaidi ya 70 billioni linawezaje kukuwa na kuwafikia wateja wapya? tena hii ni Bara tu ukiweka na visiwani si ajabu inafika zaidi ya billioni 100.
 
Mtu mwadilifu unapopewa jukumu la kusimamia shirika lolote haukubali kabla ya kufanya due diligence mwenyewe. Naamini mizigo yote hiyo mnayoizungumzia ilikuwepo kabla Mtendaji mkuu wa sasa hajateuliwa. Alikubalije kabla ya kuwekana sawa na waliomteua kuhusu hatma ya hiyo mizigo? Ukweli ni kwamba uzorotaji wowote wa shirika hili hautamjenga yeye kama kiongozi wake. Au na yeye aliamini kuwa mambo yatajipa tu? Au alidanganywa wakati anateuliwa? Ni kitu gani kinachotuambia kuwa ikija mikataba mingine mibovu hata capitulate? Ndiyo maana nasisitizakuwa ni lazima shirika liangaliwe kwanza na tuwe na uhakika kuwa wale wanaoliendesha ni watu wenye msimamo kabla hatujazungumzia kuwatupia vijisenti.
 
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12404

Angalia hili la fisadi Mkapa nalo hapo juu, Watendaji wa juu wa TANESCO watalaumiwa vipi hapa wakati fisadi lilikuwa liko busy kuishinikiza TANESCO kusaini mkataba wa shilingi bilioni 321 kabla halijamaliza muda wake.

Matatizo makubwa ya TANESCO yamesababishwa na mikataba ya kifisadi na kutowajibika kwa serikali kulipa madeni ya taasisi zake mbali mbali na madeni ya umeme ya visiwani, hapo sitabadilisha msimamo wangu. Hata siku moja huwezi kulinganisha kuzorota kwa TANESCO kutokana na uzembe wa watendaji wa juu na mikataba ya kifisadi ambayo inaliua shirika hilo

Hiyo mikataba ya kifisadi yote itenguliwe kwanza kabla ya kuliangalia shirika
 
Upande wangu nimeishasema yote niliyotaka kusema kuhusu mada hii.Hakuna kilichozungumzwa kinachoweza kunifanya nibadili msimamo wangu. Sidhani vile vile kama kuna kitu ninachoweza kusema kitachombadili Bubu Atakaye Kusema mawazo. Kwangu mimi nawaachia wengine ambao pengine wana mawazo mapya.
 
Matatizo makubwa ya TANESCO yamesababishwa na mikataba ya kifisadi na kutowajibika kwa serikali kulipa madeni ya taasisi zake mbali mbali na madeni ya umeme ya visiwani, hapo sitabadilisha msimamo wangu. Hata siku moja huwezi kulinganisha kuzorota kwa TANESCO kutokana na uzembe wa watendaji wa juu na mikataba ya kifisadi ambayo inaliua shirika hilo


Very strong argument!
 
Naomba niongoze hili nililopata upenuni.
http://www.heritage.org/research/middleeast/bg866.cfm

Government Deadbeats. The troubles faced by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) parastatal typify the problems created by state ownership of Tanzanias industries. A high-level Tanesco manager in August 1990 acknow ledged that the utility would have fewer problems, and the electrification of Tan zania would be increased, if the Tanzanian government interfered less in its opera tions and allowed Tanesco to function on a normal, commercial basis? The utilitys persistent losses, he noted, could be explained in part by Tanescos in ability to cut electricity to government ministries and parastatals that failed to pay their utility bills.

To collect these overdue debts,Tanesco in November 1990 launched Opera tion Power Cut. It vowed to cut power to deadbeats. Yet electric power was cut only to Tanzanias struggling private sector operators; service to the Tanzanian governments ministries and parastatals was unaffected 2
 
Back
Top Bottom