Nadhani umefika wakati sasa kwa wananchi kufikiri jinsi ya kuwawajibisha wabunge wao. Sioni sababu kwa nini mwanakijiji anaeishi maeneo ya karibu na mtera akose umeme wakati umeme unazalishwa maenea hayo. Sio sababu ya mwananchi anayeishi along or jirani na gridline kuelekea dar es salaam kuendelea kutegemea kibatari. Hawa wabunge wasitudanganye hapa, wanaongea tuuu ilimradi wasikike radio tanzania au magazetini.
Wabunge hebu kuweni wakweli kwa wananchi wenu na msijikombe sana kwa chama chenu, muogopeni Mungu kwa kutokubali kuwa wanafiki na rubber stamps.
Wabunge hebu kuweni wakweli kwa wananchi wenu na msijikombe sana kwa chama chenu, muogopeni Mungu kwa kutokubali kuwa wanafiki na rubber stamps.