Taarifa za kibunge zinaonyesha kuwa pamoja na tabia yao ya kukimbia bungeni mara kwa mara pindi wanapozidiwa hoja, wabunge wa chadema wameendelea kuchukua posho za siku husika. Watu wengi hususani wapiga kura na wapenda maendeleo wameonya kuwa jambo hili halitavumiliwa.
Taarifa za kibunge zinaonyesha kuwa pamoja na tabia yao ya kukimbia bungeni mara kwa mara pindi wanapozidiwa hoja, wabunge wa chadema wameendelea kuchukua posho za siku husika. Watu wengi hususani wapiga kura na wapenda maendeleo wameonya kuwa jambo hili halitavumiliwa.
unafikiri kwa kutumia sehemu ye meya wa dar.
Mkuu naona mwezi wa Ramadhani umefika kwahiyo lazima utaleta thread kwa wingi kuongeza kipato toka kwa NapeTaarifa za kibunge zinaonyesha kuwa pamoja na tabia yao ya kukimbia bungeni mara kwa mara pindi wanapozidiwa hoja, wabunge wa chadema wameendelea kuchukua posho za siku husika. Watu wengi hususani wapiga kura na wapenda maendeleo wameonya kuwa jambo hili halitavumiliwa.