Wabunge wa CHADEMA watoka nje kususia hotuba ya Rais Kikwete

mimi nilikuwa kwenye kikao jamani nijuzeni hiyo mv ilivyoanza spika alichimba mkwala gani na nani alikuwa wa kwanza kunyanyuka kutoka nje
 
Wabunge wa CHADEMA wamethibitisha ujinga mkubwa walio nao. Haiwasaidii na wala haitasaidia CHADEMA. The publc is against them and CHADEMA. Tanzania bila CHADEMA inawezekana sana tena sana mara elfu.

Ingewezekana kama ingekuwa imejaa watu wenye akili finyu kama wewe!
 
GOOD JOB CHADEMA, aluta continua, hii ni aibu kuuuubwa kwa JK, we are one, we are stronger than mafisadi, yes we can.
 
Sikio la kufa.......?

Tumejitahidi saana kuwaeleza viongozi wetu kuwa hii ita - backfire lakini hawasikii.

Mbona unafrustration ya kitu ulichokuwa unajua Wewe unaweza kumueleza mtu nini cha kulinda haki yake? Kama ni mwoga ni wewe pekee yako. Tuliwapigia kura Chadema lakini zimeibiwa tungewashanga kama wangeshiriki kwenye kikao cha mwizi wa kura tunaemjua.
 
Ujinga unao wewe, who is you mpk unamuita Lisu,Mbowe,Mnyika,Zitto, etc, wajinga? Wamechaguliwa na wasomi watupu sasa sie wasomi tunachagua wajinga wenzetu au?Tena naomba utukome maana they are doing that on behalf of Tanzanians and not on behalf of Mafisadi. That is what we expected from them and make yourself ready for the next difficult situations to that mama(spika).



Safi sana bora ulivyomtell huyu anaewaona watu walioenda darasani na kuelimika wajinga unlike hawa wenzetu mafisadi, who are left behind claping their hands over nothing!.... Na hili limethibitisha udaktari wa kupewa bila shule haswa pale walipozomea CHADEMA wakitoka nje, huku wakiimba CCM as if wapo kwe mkutano wa ccm na CUF, NCCR na Mrema nao wamejionyesha kuwa nao ni CCM. safi sana vijana keep it up!
 
Alianza mzee wa anga kuwapa ishara vijana wakanyanyuka na kutoka nje. wenzetu wakabaki wakizomea na kuimba ccm ccm! kana kwamba wapo kwenye mkutano wao wa kifisadi. dr wa kuchakachua akabaki mdomo wazi na kusema heeeee! ..... heeeee! spika akatoa oda na ukimya ndipo hutuba akaendelea. upo!
 
hakuna madhala yoyote hakuna kifungu cha sheria cha kumaukumu kama mbunge akiamua kutoudhulia kikao anachoutubia rais.bunge ni muhilimi unaojitegemea .Na rais kaingia pale kwa kupigiwa kula Je kama kura ingekuwa hapana angefungua au kuhutubia nini
 
Hakuna madhara yoyote makubwa yatakayotokea, ila labla jk tu atapata tabu sana kipindi cha utawala wake, nampa pole sana kwa hilo
 
Madhara yatakayotokea ni kwamba, nchi inaweza ikawa na mfarakano mkubwa.

Huu mfarakano ndo mtamu

Maziwa ya kibuyu huyanywi atii mpaka uyatikise yakhee!!! Acha tufarakane lakini unono utatokea ndani yake.

Bora kufarakana kutakakoleta matumaini mapya kwa wananchi kuliko kutofarakana kunakoleta manufaa kwa JK nad Washkaji Co. Ltd
 
Madhara mengine ni kwamba hawa majmbazi ccm watakuwa wanalazimisha kisasi na kuongeza ufisadi zaidi.
Chadema wameamua kuiita Spade a spade na si kusema spade ni big spoon.
 
jamani wadau wa jf tunaomba maoni juu ya madhara ya chadema kususia hotuba ya rais.
mimi kwa mtizamo wangu nawapongeza kitendo cha kishujaa kilichoingizwa ktk historia lkn hapa kijiweni kuna mjadala mkali eti utakuwa na madhara kwa wananchi nini mtizamo wa wadau?.

Hongereni sana chadema, tumieni uhuru wenu ku-express feelings zenu, baadaye tumieni Ibara ya 46A ya Katiba kumshtaki JK bungeni, ila wale wachawi waitwao cuf, tlp &nccr wataungana na mama yao ccm kukwamisha!
 
Madhara makubwa ni kwa JK kwa kitendo hicho hivi sasa hawezi kusimama kifua mbele, katika jumuia ya kimataifa na kusema kuwa watanzania wote wako nyuma yake
 
Back
Top Bottom