MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
hivi wabunge wa ccm wanawakilisha kweli wananchi au wapo wapo tu bungeni kulinda masilahi ya chama chao??Lema alienda kwa mapenz yake huko jela sisi 2napiga kelele za nini?alijiona anahatia ndiyo maana akajipeleka mwenyewe,kila siku wana wa maandamano mnasisitiza sheria zifuatwe,halaf nyie ndio wa kwanza kupindisha,halaf mbunge anawakilisha wananch wa jimbo lake wakitoka wote kero za wananch wa majimboni mwao zitawakilishwa na nani?.
Mbunge mmoja wa CDM=Wabunge 20 wa CCM