MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,549
- 24,159
Wale mliompigia kura huyu jamaa pale Oktoba 2015 sijui mnajisikiaje.
Na bado.
Na bado.
Rais haupendi upinzani toka moyoni.,.
CCM wenye akili wote kwa sasa kwa hili FIKRA ZA MWENYEKITI SIO SAHIHI TENA.Tangu leo naondoa imani yangu kwa rais ..duuuh kumbe afai..MTU was visasi..
Jamani naomba msaada wa mawazo,
mke wangu ni CCM damu nani SIMBA damu, ni Man U damu.
mimi ni UKAWA damu nani YANGA damu, pia ni Arsenal damu,
kwa rais anavyotaka kutugawa nifanyaje?
Una cheti?Wewe ndo unatakiwa usitumike kijinga...hao wanamenyana wenyew baba yao mmoja sasa sis tusio wafuasi wa siasa hatuoni shida...na kaa ukijua wajinga sio viongoz wajinga ni mim na wew tunaotumiwa vibaya...over
Hahahahaha kazi kweli kweliVunja bunge uchaguzi urudiwe uone kama hujaambulia zero ya bashite
Maana ya kutawala kabla ya Nyerere ni kuwa angetutenga mapema and then Nyerere angekuja kutuunganisha,Tusingekua na umoja huu.!
Wakati huo huo yeye anasisitiza watanzania bila kujali imani zetu tumuombee.....Nafikiri kuanzia sasa kila mtu ajiombee mwenyewe tu....mtu unapoteza mda kumwombea yeye alafu ndo kwanza yeye anatugawaa sasa hivi akitaka kuombewa amtafute Gwajima na Pengo wamuobeeWewe huwezi amini mh raisi akiwa kwenye hafla ya nmb aliwaasa wa tz wasiweke pesa benki nyingine zote ila nmb maana serikali ina hisa asilimia 31 so hela zoote tuweke nmb na benki nyingine tuweke 0.001% ya hela zetu ili hela zikienda nmb serikali itapata gawio la hisa na hisa zitasaidia wananchi. Je is that a presidential speech? Je anaona raha bank nyingine zikifa?, na je nn madhara kwa bank nyingine kufa , kwa taifa na kwa serikali? Je huyu ni raisi wa nmb tu? Bank nyongine wanajisikiaje wanaposikia mkuu wa nchi anelekeza taasisi zoooote za serikali zisiweke pesa au kufanya biashara na bank za biashara wanajisikiaje? ukizingatia mchango wao mkubwa sana wa kimaendeleo ktk uchumu wa nchi yetu? HUYO NDO RAISI. LIKE FATHER LIKE SON. Asanteni
Hii hatariiiRais Magufuli amewatisha wabunge CCM kwa kuwaonya vikali, amewashutumu wabunge hao kwa kutoa siri za CCM kwa upinzani na hata kuwagawia wabunge wa upinzani muda wa maongezi bungeni.
Magufuli amewaonya wabunge wa CCM waliokuwa wamepanga kumtembelea mbunge mwenzao Godbless Lema gerezani na ameita kitendo hicho kama usaliti mkubwa kwa CCM.
Na mwisho JPM amewapa somo, kwamba anajua kuna njama za kumwondoa Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa kwa kutokuwa na imani naye,wakishiriki kwenye mipango hiyo atalirejesha jina la Majaliwa kwa mara ya pili na bunge likilikataa atalivunja na nchi irudi kwenye uchaguzi wa nafasi zote.
CHANZO: Gazeti la Mwananchi.
======================
Hii ni dalili ya Taifa linalojengwa katikati ya chuki ma uhasama.Taifa la visasi na kukomoana.Unaposikia Rais anawalaumu wabunge wa chama chake kumtembelea mbunge mwenzao wa chama kingine gerezani,unapata picha ya nini na nani anaweza kuwa nyuma ya mbunge husika kuwa gerezani.
Hii inakatisha tamaa,inaondoa moyo wa uaminifu hata kwa sie wachache ambao tulikuwa upande wa Rais ktk baadhi ya mambo anayoyasimamia.Kwa kauli hizi,Rais na mkuu wetu anatukatisha tamaa sana sana.
Unaposikia kauli za chuki kiasi hiki,unajiuliza pale mtu anapokuwa anataka aombewe,aombewe kwa minajili ya kuzidisha chuki na mtangamano au?
Rais mara nyingi husema yeye ni wa wote;maendeleo hayana chama,tudumishe amani na upendo maana Tanzania ni moja,lakini Tanzania itakuwa moja kwa mtindo huu wa kupandikiziana chuki na kutishana??
Tuzidi kuliombea Taifa.Na wengine tunazidi kukata tamaa.Mungu saidia.
Kabisa. Inatakiwa alete umoja, sio utengano. Siasa sio uadui, ila iwe ni mgongano wa mawazoRais wetu ni msomi lakini mambo mengine anayozungumza hasa kwa nafasi yake yanaleta shida sana badala ya kukusanya anatawanya
masikin i Tanzania, mwenyekiti wa CCM anatangaza chuki za wazi kabisa alafu kutwa kuwaomba wananchi wamuombee,
wabunge wa CCM wanapelekeshwa kama watoto wa shule ya msingi.
Namuonea huruma mrembo Halima Bulembo ndiyo anaandamwa na mwenyekiti wake eti yeye anavujisha siri kwa wapinzani