Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
anafikiria kunyoa kiparaSijui January Makamba anajiskiaje saizi
tu...nimeamini akili ni nywele.....ukinyoa kipara kichwa kinakuwa kama kota hivo hata kufikiri
unakuwa kama unatumia makota
anafikiria kunyoa kiparaSijui January Makamba anajiskiaje saizi
Naam! JK alicheki wananchi walivyommaind ndo akaamua kuua soo! Kama angekuwa serious basi wale jamaa wasingekuwa mawaziri hadi muda huu ninapoandika!!! He is not serious at all!!!Mimi naamini ni propaganda tu za JK lakini lazima mkwara ulitembea