Baada ya kulaani na kushindwa kusaini hoja ya zito kabwe ya kutokua na imani na waziri mkuu wakimuogopa mkuu wa nchi kumbe naye rais alikua anafurahia wabunge walivyokuwa wanajadili.wadai wangesaini wangejiongezea umaarufu wa kisiasa kwenye majimbo yao kwa kuonekana wapiganaji.source greatethinker