Wabunge wa CCM ni mazoba?? Mbona wanaiacha serikali inayumba?

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Hawa wabunge wa CCM vipi? Mbona wanaachia wapiga kura wao wanateseka na kutetea mafisadi kula na familia zao??

Lisemwalo lipo- Kama halipo Mtikila angekuwepo Gerezani Leo.

Sasa hawa wabunge wa ccm wanapewa posho watetee bajeti ipite ili wananchi wao wanyonywe na familia ya VASCO DAGAMA 11 izidi kutajirika??

Angalia wanapewa posho kidogo wanaachia mabilioni ya mafuta yaende kwa Mizengwe na Vasco Da gama baba mlezi wa wauza unga na mafisadi???

Wabunge wa ccm wanaacha maraisi wastaafu wanamiliki mashamba makubwa na wananchi wawe vibarua, wawe omba omba??

Enyi wabunge wa ccm fikirieni na wananchi wenu, wapiga kura wenu, watoto wa wajomba zenu watoto wa baba zenu wakubwa/wadogo, mashemeji, jamani wabunge wa ccm. Mnamuachia VAsco Dagama atafune hela za wananchi kwa faida ya RZ ONE na familia yake.

Wananchi wenu wanaumia kwa bei ya mafuta taa jamani wabunge wa ccm.
 
Kuna haja gani Dk Masaburi kuomba msamaha?
Ni kweli wanafikiria kwa kutumia makalio.
Kama wangetumia ubongo kufikiria wangejali future ya vizazi vijavyo na kuachana na bahasha za kupitisha budget
 
Hawa wabunge wa CCM vipi? Mbona wanaachia wapiga kura wao wanateseka na kutetea mafisadi kula na familia zao??

Lisemwalo lipo- Kama halipo Mtikila angekuwepo Gerezani Leo.

Sasa hawa wabunge wa ccm wanapewa posho watetee bajeti ipite ili wananchi wao wanyonywe na familia ya VASCO DAGAMA 11 izidi kutajirika??

Angalia wanapewa posho kidogo wanaachia mabilioni ya mafuta yaende kwa Mizengwe na Vasco Da gama baba mlezi wa wauza unga na mafisadi???

Wabunge wa ccm wanaacha maraisi wastaafu wanamiliki mashamba makubwa na wananchi wawe vibarua, wawe omba omba??

Enyi wabunge wa ccm fikirieni na wananchi wenu, wapiga kura wenu, watoto wa wajomba zenu watoto wa baba zenu wakubwa/wadogo, mashemeji, jamani wabunge wa ccm. Mnamuachia VAsco Dagama atafune hela za wananchi kwa faida ya RZ ONE na familia yake.

Wananchi wenu wanaumia kwa bei ya mafuta taa jamani wabunge wa ccm.
Hapo kwenye RED kunaninyima raha ya kuchangia. Naogopa BAN!
 
Usitegemee lolote jipya wala la maana kutoka kwa wabunge wa Magamba kwani wanafikiri kutumia makalio yao!
 
Hawa wabunge wa CCM vipi? Mbona wanaachia wapiga kura wao wanateseka na kutetea mafisadi kula na familia zao??&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lisemwalo lipo- Kama halipo Mtikila angekuwepo Gerezani Leo.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sasa hawa wabunge wa ccm wanapewa posho watetee bajeti ipite ili wananchi wao wanyonywe na familia ya VASCO DAGAMA 11 izidi kutajirika??&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Angalia wanapewa posho kidogo wanaachia mabilioni ya mafuta yaende kwa Mizengwe na Vasco Da gama baba mlezi wa wauza unga na mafisadi???&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wabunge wa ccm wanaacha maraisi wastaafu wanamiliki mashamba makubwa na wananchi wawe vibarua, wawe omba omba??&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Enyi wabunge wa ccm fikirieni na wananchi wenu, wapiga kura wenu, watoto wa wajomba zenu watoto wa baba zenu wakubwa/wadogo, mashemeji, jamani wabunge wa ccm. Mnamuachia VAsco Dagama atafune hela za wananchi kwa faida ya RZ ONE na familia yake.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wananchi wenu wanaumia kwa bei ya mafuta taa jamani wabunge wa ccm.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Unless you have concrete evidence to buttress your statement, you should share your flummeries with your fellow lunatics. The whole story is a scuttlebutt and a mere calumny to traduce CCM's profile.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Unless you have concrete evidence to buttress your statement, you should share your flummeries with your fellow lunatics. The whole story is a scuttlebutt and a mere calumny to traduce CCM's profile.
<br />
<br />
wezi wa mali ya umma utawajua tu kwa kuteteana hawajambo!
 
Eee bwana Chimunguru,wamekula mpaka wamekuwa vipofu wanateteana tu ila wananchi wa sasa wanajua kila kitu. Wananchi watawahukumu kwenye sanduku la kura. Ila kuna tatizo moja, kura kuchakachuliwa. Vyombo vyote vya dola vimewekwa chini ya makalio yao. vyombo vya dola wanahongwa kwa hela zetu tulizoibiwa kwa njia za kifisadi.
 
Back
Top Bottom