Hawa wabunge wa CCM vipi? Mbona wanaachia wapiga kura wao wanateseka na kutetea mafisadi kula na familia zao??
Lisemwalo lipo- Kama halipo Mtikila angekuwepo Gerezani Leo.
Sasa hawa wabunge wa ccm wanapewa posho watetee bajeti ipite ili wananchi wao wanyonywe na familia ya VASCO DAGAMA 11 izidi kutajirika??
Angalia wanapewa posho kidogo wanaachia mabilioni ya mafuta yaende kwa Mizengwe na Vasco Da gama baba mlezi wa wauza unga na mafisadi???
Wabunge wa ccm wanaacha maraisi wastaafu wanamiliki mashamba makubwa na wananchi wawe vibarua, wawe omba omba??
Enyi wabunge wa ccm fikirieni na wananchi wenu, wapiga kura wenu, watoto wa wajomba zenu watoto wa baba zenu wakubwa/wadogo, mashemeji, jamani wabunge wa ccm. Mnamuachia VAsco Dagama atafune hela za wananchi kwa faida ya RZ ONE na familia yake.
Wananchi wenu wanaumia kwa bei ya mafuta taa jamani wabunge wa ccm.
Lisemwalo lipo- Kama halipo Mtikila angekuwepo Gerezani Leo.
Sasa hawa wabunge wa ccm wanapewa posho watetee bajeti ipite ili wananchi wao wanyonywe na familia ya VASCO DAGAMA 11 izidi kutajirika??
Angalia wanapewa posho kidogo wanaachia mabilioni ya mafuta yaende kwa Mizengwe na Vasco Da gama baba mlezi wa wauza unga na mafisadi???
Wabunge wa ccm wanaacha maraisi wastaafu wanamiliki mashamba makubwa na wananchi wawe vibarua, wawe omba omba??
Enyi wabunge wa ccm fikirieni na wananchi wenu, wapiga kura wenu, watoto wa wajomba zenu watoto wa baba zenu wakubwa/wadogo, mashemeji, jamani wabunge wa ccm. Mnamuachia VAsco Dagama atafune hela za wananchi kwa faida ya RZ ONE na familia yake.
Wananchi wenu wanaumia kwa bei ya mafuta taa jamani wabunge wa ccm.