Wana JF,
Me nawapa hiyo mmoja kila mwanadamu yoyote yule ana kichaa chake.
Sasa hiyo kumpima mtu mwataka kujua nini wakati jibu ni hilo hapo juu, wakati kila binadamu kichaa chake huamka kinavyo tegemea period kwa hiyo wote tu navichaaa hilo liko wazi.
Mh.Rais JK kwani yote hayo yanatokea chini ya uongozi wake hakuna kukemea au kuonya kwa maana nyingine haya yanayotokea kwake ni sawa,MUNGU IBARIKI TANZANIA.waanze na Lema, hapo kuna dalili zote za msuba
Wabunge wote wa ccm akiwemo Pinda, Makinda na Ndugai hawana kabisa akili hivyo hawawezi kupimwa.