suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,205
1. Mh. Lusinde ..Huyu ndiye mtoa hoja pengine anatatizo hili
2. Mwenyekiti wa bunge kikao cha siku hiyo ya hoja....Mwenyekiti anakubi hoja ile nadhani anaafiki
3. Wabunge wote wa CCM because Mh. Lusinde anatoka CCM
CDM wote hawahitaji kupimwa kwa sababu wao wanaonekana wanaongea lugha ya wanatanzania walio wengi,,,wanyonge... hivyo kama wanahitaji kupimwa basi list nyingine ya ni wantanzania wote.
nakwambia chizi hajijui kama ni chizi na zaidi hushangazwa na yale wayayofanya wenye akili timamu, kwa hiyo lusinde na pengine magamba wote ni chizi nambari wani anashangaa yale wanayofanya wazima (cdm).