Wabunge CCM Wataka Rais Ahojiwe Bungeni

huyo mbunge hana lolote anatafuta umaarufu huku akimendea jimbo la iringa mjini kumng'oa rev. msigwa
 
ukweli ni kuwa wabunge wa CCM wamechoka na aibu wanazopata kuunga mkono uwongo na kuzomea wabunge makini wa upinzani.

Wanajuwa kuwa chanzo cha aibu yao ni uongozi wa juu, yaani M/Kiti wa Chama, sasa wanatafuta namna ya kumbana zaidi anayesababisha aibu hizo...

Lakini kwa sababu ya desturi ya kuoneana aibu sidhani kama watafika popote, desturi hiyo ndiyo itawarudisha nyuma na wabunge jasiri wataonekana kama wasaliti tu...

Habari njema ni kuwa idadi ya wabunge jasiri inazidi kuongezeka sasa ... hii inaweza kuleta uasi katika chama na hilo litakuwa na manufaa kwa taifa letu. Naomba litokee hilo na huyo Mh Kabati namwomba asiangalie makunyanzi ...
 
Naona yeye na wabunge wenzake wa CCM wanajidhalilisha tu mbele ya jamii kama WM alikuwa anatoa majibu yasiyoridhisha kwa nini walikuwa wanagonga meza za bunge kushangilia wasichokiamini
 
sawa na iwe hivyo ila naye asiwe muongo kama pinda.
Mkuu, inaelekea kama wewe humfahamu kinara wa uongo nchi hii. Pinda hawezi kufikia hata robo ya uwezo wa JK kusema uongo, kumbuka wakati wa kampeni 2010 aliongopa mangapi majukwaani?
 
Ninasubiria kuona mwisho wa hoja hiyo.kwa jinsi ninavyomfahamu mkuu,hiyo ni changamoto kubwa sana kwake.
 
Ninasubiria kuona mwisho wa hoja hiyo.kwa jinsi ninavyomfahamu mkuu,hiyo ni changamoto kubwa sana kwake.
 
Kama wamechoshwa kwa kutumiwa kama kondomu wafanye harakati za kumpeleka mabwepande.
 
Thubutuu!mumesahau huyu kilaza ali amrisha midahalo ifungwe 2010?ata aibika huyu hawezi kuruhusu hii kitu kabisa!
Unafikiri ata chomoka mbele ya
Kina Mnyika,Lissu....huyu???
 
Itakuwa na tofauti gani hotuba zake za kawaida Mkuu, si ni kama siku zote tu anapohutubia bunge tu??

Ninachoaamini ni kuwa kila swali litapata blah blah zake...... "tumejipanga, tuko mbioni, pia tumeliona hilo, mchakato naendelea kwenye ofisi yangu, nimeongea na waziri juzi.... blah blah blah"

Kama hoja itapita, haiwi kwa ajili ya Kikwete bali Rais wa nchi, nina maana itaendelea kuwepo kwa ajili ya position ya Urais kuhojiwa. Tutoke nje ya box ili tuweze kufikiri kwa mapana. Ni wazo tu mkuu
 
Bora hiyo sheria isimkute Rais Kikwete madarakani manake sijui atajibu nini!
 
Nimeamini wengi humu ni vilaza, hatujasoma na kuelewa Bills, Ammendment, Act, Rules, Bunge, Mahakama na Serikali iko siku mtasema Rais akajibu maswali ya sokoni km wale viongozi wa Dini wanavyomuamrisha Rais ajibu maswali ya Madaktari badala ya kumalizana na Waziri wa Afya.
Pale tu mgombea anapochaguliwa na kuapishwa sio mtu wa kuwasiliana naye hata kwa simu kwa kila shida hata za haja ndogo.
HATUA ANAYOTAKIWA KUIFANYA PALE BUNGENI NI KULIVUNJA BUNGE NA WARUDI WAKAOMBE KURA VITUONI, RAIS YOYOTE KIKATIBA SIO MBUNGE LABDA HUKO KENYA NDIO WANATAKA WAFANYE HIVYO
 
Back
Top Bottom