Kama Nyie wabunge wa CCM mnakubali mawaziri wezi wabaki kisa eti wanalindwa na mtu mmoja!!!!
Huyo mtu mmoja atoswe maana anajinufaisha yeye na familia yake.
Sina shaka na wabunge wa Upinzani
Wabunge wa CCM ndo wako wengi na wamekuwa watetezi wa serikali yao hata kwa uovu wa wazi kabisa. Hili la mawaziri kuiba ni aibu zaidi, Wabunge wa CCM ondoeni huyu mtu mmoja na mkubali turudi kwenye uchaguzi,hapa wananchi watawapa kura.
Huyo mtu mmoja atoswe maana anajinufaisha yeye na familia yake.
Sina shaka na wabunge wa Upinzani
Wabunge wa CCM ndo wako wengi na wamekuwa watetezi wa serikali yao hata kwa uovu wa wazi kabisa. Hili la mawaziri kuiba ni aibu zaidi, Wabunge wa CCM ondoeni huyu mtu mmoja na mkubali turudi kwenye uchaguzi,hapa wananchi watawapa kura.