Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #21
Ni kweli hiyo ni passive resistance
I guess.
Ni kweli hiyo ni passive resistance
Kuna mbinu nyingi katika mapambano, na kina mbinu ina advantage na disadvantage. Chadema baada ya uchaguzi walianza na kulikimbia bunge na kikwete, mbinu hiyo ilizaa matunda kwa serikali kunyong'onyea na kuanza harakati za Katiba kitu kinachoendelea hadi sasa. Mbinu nyingine waliyotumia ni mikutano ambayo ilisaidia kuelimisha umma, kama wangekubali na vitisho vya kusitisha hayo haya yanayotokea leo yasingetokea, ingebaki kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi kilipokuwa chama cha msimu na kuibuka wakati wa uchaguzi tu.
Hawa wabunge waliotoka nje ya kikao wakati wa kupiga kura ya kupitisha bajeti, dhamiri zao ziliwasuta kutokukubaliana, na hivyo kutoka nje ya kikao ni mojawapo ya option itumikayo katika mabunge mengi duniani. Wanacho cha kuwaelewa wapiga kura wao kivitendo kwamba waligomea bajeti hiyo na kutoka isijeonekana wamshiriki kupitisha.
Yeeeeeesssssssss, we can. Lets join together to fight it. Ninachofurahi vijana na wasomi wengi wanafunguka akili na kuelewa kile ambacho tunapambana nacho. Ukiona hadi vijijini moto unawaka ujue kuuzima ipo kazi, na watakaposhtukia nyumba imeteketea.Tunatakiwa kuwa kitu kimoja, kujenga uvumilivu, kuelimisha umma bila kuchoka, papo kujitahidi kukosoa pale ambapo wapambanaji wanapoteleza, vinginevyo tutaendekeza yale yale. Huu ndio ukomavu, maana makamanda wakikosea step katika mapambano, wanarudi kujipanga upya na mbinu mpya baada ya kusoma mkao wa adui.[yea kaka huo ndo ukweli, kuna kila haja ya kujipanga sana.tunapeleka elimu mpaka vijijini]
ukivuta bangi ndio unatuma thread mbona hata majina ya hao wabunge watatu wa CCM hujataja?