NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Mimi ni mmpenzi sana wa mazoezi ya aerobikale na ya kunyanyua vitu vizito(vyuma) sasa kuna hili swala linanitatiza sana kwa mabaunsa/wanyanyua vitu vizito wengi hapa DSM na sehemu nyingine za TZ wana train eneo moja tu la kifua madhara yake ni kwamba mtu anakuwa na umbile kama la gitaa i.e anajaa juu/kifua sana tena na kibiongo juu kwa vile anapress bench tu bila kupiga na mgongo. Matokeo yake miguu inakuwa membamba kama fito na haina nguvu. na ndio maana wengi wao hawavagai kaptula. Kuna madhara mengine ya kibailojia nimesikia yapo ila sina uhakika nayo labda watalaalamu watusaidie hapa.
Je ni kutokujua au imegeuka kuwa tamaduni?
Je ni kutokujua au imegeuka kuwa tamaduni?