Wabeba vitu vizito (mabaunsa) DSM

ya kwanza siwezi sema sana, but ya pili pamoja na m=kwamba inawza kumpata mtu yoyote, lakini kuna risk factors zake!!! its always irrational use ya hayo mavyuma au imbalanced load kwa mwili

Of course sio vizuri ukinyanyua hivyo vyuma kwa "form" mbaya. Hilo wala sibishi kwa sababu ni kitu cha ukweli na unaweza ukapata madhara mbalimbali kama kuchana msuli (actually kuchana tendon inayounganisha msuli na mfupa), unaweza uka-strain ligaments na kujisababishia maumivu makali na pia bila "form" nzuri hutapata results unazozitaka.

Ninachokataa mimi ni uzushi wa mambo ambayo si ya kweli. Na pia ktk hii fani kuna mambo mengi tu ambayo ni zaidi na kunyanyua. Kuna mambo ya nutrition, genetics, lifestyle, na supplements atumiazo mtu. Haina maana kila atakayenyanyua basi mwili wake utabadilika. La hasha!
 
Shukrani kwa NN kwa kutumia muda mwingi kutoa elimu kwenye mada husika.
 
pregnancy and stresses of childbirth long term constipation, long term straining during defecation
1.straining to be subjected to great stress or pressure[YourDictionary.com]
2.Thesaurus Dictionary online

Noun1.
6A596-strain.gif
strain - (physics) deformation of a physical body under the action of applied forces natural philosophy, physics - the science of matter and energy and their interactions; "his favorite subject was physics"

deformation - alteration in the shape or dimensions of an object as a result of the application of stress to it
kwa KISWAHILI .straining ni kujikema au?
wikipedia is not a scholary Reference
[Because most sufferers are elderly, the condition is generally under-reported.[11] The condition can also occur in children.[12]]
 
Baunsa ndio nini?

Halafu hakuna hasira wala nini. Tatizo watu ni wagumu kuelewa utadhani hawana ubongo. Uzushi wanauchukulia kuwa kitu cha kweli. Umeshawahi kujiuliza moja ya sababu ya sisi kuwa nyuma kimaendeleo ni nini? Well, look no further................

mHHH NILIKUWA SIJAIONA HII.,,,
 
Kwanza, neno baunsa amablo linatokana na neno "bouncer" umelitumia visivyo. Ingia kwenye kamusi usome maana yake.

Pili, hayo unayosema wewe, hasa kwa Tanzania yatakuwa maumbile zaidi kuliko transformation iliyosababishwa na kunyanyua vitu vizito kwenye sehemu ya juu ya mwili (upper body). Kwenye genetic body types kuna endomorph, mesomorph, na ectomorph (kama sijakosea). Naweza kwenda kwa undani zaidi kuhusu hili kama utapenda lakini ninachotaka kusema ni mwamba kuna watu walio top heavy na nadhani hawa ndio hasa wewe unawaongelea.

Na hakuna madhara yoyote ya kiafya yatokanayo na kunyanyua vitu vizito. Hiyo ni dhana potofu tu. Nitarudi baadae kwa undani zaidi.

NB: Mimi ni certified personal trainer na ninayajua haya mambo nje ndani. Kuna a lot myths out there.

Mkuu naonba nishushie elimu ya kujenga miguu hasa sehemu za vigimbi(chini ya goti) na kukata kitambi...!!!(Sit-ups hazijanisidia so far)
thanks...!!
 
1.straining to be subjected to great stress or pressure[YourDictionary.com]
2.Thesaurus Dictionary online

Noun1.
6A596-strain.gif
strain - (physics) deformation of a physical body under the action of applied forces natural philosophy, physics - the science of matter and energy and their interactions; "his favorite subject was physics"

deformation - alteration in the shape or dimensions of an object as a result of the application of stress to it
kwa KISWAHILI .straining ni kujikema au?
wikipedia is not a scholary Reference

NYANI VIPI MBONA KIMYA? HIVYO VITAKATAKA VYANGU HUJAVIJIBU,.NIMEKWAMBiA WIKI PEDIA is NOT a SCHOLARY reference.,..Sasa mbona kimya ?
pregnancy and stresses of childbirth long term constipation, long term straining during defecation

Nimekuwekea uliyoyakopi na Kupaste machache kutoka huko ulikoyatoa mbona hujayazungukia?naomba mechanism ya ULIYOYAPASTE
Picha nimekuwekea na simple non scholary definitions mboma kimya?
RUDI JUU ULILIELEWA SWALI KWELI? AU ni mambo ya bisha USOMEKE?

NDIO MAANA HATUENDELEI ?SABABU HATUNA TAFITI//,MBONA MAJIBU YOTE YAPO NDANI HUMU AU TAFITI GANI NYINGINE MZEE ?HATUNA FUND ZA KUNUNUA PRADO KWA WAHUSIKA.YAANI UNAIKATAA HATA HERNIA KUHUSIKA NA NONDO ?loh ?
Sasa funga kamusi yako ya lugha mbovu halafu angalia walivyongea wenzako ili upewe shule simple.

KUMBUKA BACKGROUND YA SWALI,ilikuwa nini halafu angalia nilijibu nini? wewe ni old member wa J.F
reference NITAANZIA KWA WENZAKO WA UKO HIKO WANAOFUNDISHWA NA WALIMU KAMA WEWE,,,nikisoma majibu yako sidhani kama ulilielewa swali vizuri

MODS naomba msifute majibu.,
 
NYANI VIPI MBONA KIMYA? HIVYO VITAKATAKA VYANGU HUJAVIJIBU,.NIMEKWAMBiA WIKI PEDIA is NOT a SCHOLARY reference.,..Sasa mbona kimya ?


Nimekuwekea uliyoyakopi na Kupaste machache kutoka huko ulikoyatoa mbona hujayazungukia?naomba mechanism ya ULIYOYAPASTE
Picha nimekuwekea na simple non scholary definitions mboma kimya?
RUDI JUU ULILIELEWA SWALI KWELI? AU ni mambo ya bisha USOMEKE?

NDIO MAANA HATUENDELEI ?SABABU HATUNA TAFITI//,MBONA MAJIBU YOTE YAPO NDANI HUMU AU TAFITI GANI NYINGINE MZEE ?HATUNA FUND ZA KUNUNUA PRADO KWA WAHUSIKA.YAANI UNAIKATAA HATA HERNIA KUHUSIKA NA NONDO ?loh ?
Sasa funga kamusi yako ya lugha mbovu halafu angalia walivyongea wenzako ili upewe shule simple.

KUMBUKA BACKGROUND YA SWALI,ilikuwa nini halafu angalia nilijibu nini? wewe ni old member wa J.F
reference NITAANZIA KWA WENZAKO WA UKO HIKO WANAOFUNDISHWA NA WALIMU KAMA WEWE,,,nikisoma majibu yako sidhani kama ulilielewa swali vizuri

MODS naomba msifute majibu.,

Hata sikuelewi. Licha ya hivyo, ingawa wikipedia sio scholarly, nakupa changamoto unitafutie unitafutie makala iliyo scholarly inayokingana na kilichosemwa kwenye wikipedia.

Halafu nakuomba unipe madhara na faida za kunyanyua vitu vizito kwa kufanya mazoezi ya mwili. Usitunge tu mambo kichwani mwako. Weka vyanzo vyenye heshima.
 
Mkuu naonba nishushie elimu ya kujenga miguu hasa sehemu za vigimbi(chini ya goti) na kukata kitambi...!!!(Sit-ups hazijanisidia so far)
thanks...!!

Bila kujua genetic body type yako ni vigumu kukupa elimu mahsusi inayokufaa wewe. Ila kwa ujumla tu kama unataka kujenga vimbwisi, jinyanyue kwa kutumia mwili wako mwenyewe (tippy toe). Yaani kuwa kama unajirefusha kwa kusimamia mbele ya miguu pale karibu na vidole vya miguu. Fanya hivyo ukiwa umebeba kitu kizito mgongoni. Rudia mara kadha, kwa mfano piga set 5 na kila seti iwe na reps 12.

Kuhusu kuondoa kitambi, kwanza kabisa badilisha lifestyle yako. Kama unapenda kunywa pombe na nyama, badilika. Pili hakikisha caloric output inaizidi caloric input. Pia punguza kula vyakula vyenye wanga na sukari kwa wingi. Tatu piga tizi linaloimarisha misuli ya tumbo. Kwa mfano sit ups, crunches, n.k.
 
Hata sikuelewi. Licha ya hivyo, ingawa wikipedia sio scholarly, nakupa changamoto unitafutie unitafutie makala iliyo scholarly inayokingana na kilichosemwa kwenye wikipedia.

Halafu nakuomba unipe madhara na faida za kunyanyua vitu vizito kwa kufanya mazoezi ya mwili. Usitunge tu mambo kichwani mwako. Weka vyanzo vyenye heshima.

VYANZO VYENYE HESHIMA VIPO VINGI,LAKINI UNGANISHA BACKGROUND YA SWALI KAMA LILIVYOULIZWA ., ANGALIA ULIVYONIJIBU mimi,Kabla ya kuanza elimu yako ya nondo .NIMEKUWEKEA DEFINITION SIMPLE PAMOJA NA PICHA.NIMEOMBA MECHANISM YA MAGONJWA ULIYOYATAJA ,.ambayo umeyatoa KWENYE NON SCHOLARY WEBSITE YA FREEWIKIPEDIA.website ambayo inakaribisha kila mtu kuiedit,Inazungumzia jambo halafu chini inalikimbia,.kwa kutumia vimisemo au hujui maana ya hivyo vijimisemo ni nini?
BASI ni UWOGA WA KUDECLARE comflict of INTEREST ndio maana inaitwa non scholary.
SWALI HUJIBU SWALI BWANA, JIBU NILIYOKUULIZA KWANZA, ILI TUELEWANE WEWE NI MWALIMU ,picha ,definitions na mechanisms ya magonjwa uliyoyataja.NA NI VIPI UNATUTAJIA MISULI UNAYOIJUA BILA KUITAJA DIAFRAGM NA MCHANGO WAKE ?

NITAJUA WAPI PA KUANZIA KUDEAL NA WEWE.,.NAPENDA NA KUHESHIMU SANA WALIMU.,WAO WANAJUA MENGI,.sababu kubwa ya ujuzi na uelewa wao ,ni usikivu na umakini ,pia hujifunza kutoka kwa wenzao na kuhoji ili baadaye waweze kujibu maswali.,Na hawakejeli swali au maelezo ya swali NDIO MAANA HUTOA MARKS ambazo hujadiliwa

NAKUSUBIRI MWALIMU NGABU
 
Kuhusu kuondoa kitambi, kwanza kabisa badilisha lifestyle yako. Kama unapenda kunywa pombe na nyama, badilika. Pili hakikisha caloric output inaizidi caloric input. Pia punguza kula vyakula vyenye wanga na sukari kwa wingi. Tatu piga tizi linaloimarisha misuli ya tumbo. Kwa mfano sit ups, crunches, n.k.

Mkubwa hapo watu pia hukosea sana mimi ningeshauri mtu akimbie kwenye uwanja au vimilima kwa mfano dar pale UDSM kuna mazingira mazuri na moshi wa magari ni kidogo. Hii inasaidia kukata mafuta kwanza then ndio mtu afanye mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo. Ikumbukwe kwamba ukianza kukaza tumbo linaweza kubakia hapo hapo/likageuka msuli na kila siku unalalamika kitambi hakiishi.
 
hawana lolote hao. mwili mkubwaa akili kidogo, na wakifika miaka kama hamsini hivi ndo wanaanza ugonjwa wa kutetemeka kama mohamed ali, misuli yao inakuwa imelazimishwa kupanuka artificially. kwa kung fu zangu, sihesabugi kama kuna kitu hapo pamoja na kwamba huwa sipigani, ila akinikuta usiku labda anataka kunipora kitu, ataendak usimulia nda rafiki zake wote...

da punguza mikwara basi mkuu tangaza unamkanda gani basi ili tupeane heshima stahiki
 
VYANZO VYENYE HESHIMA VIPO VINGI,LAKINI UNGANISHA BACKGROUND YA SWALI KAMA LILIVYOULIZWA ., ANGALIA ULIVYONIJIBU mimi,Kabla ya kuanza elimu yako ya nondo .NIMEKUWEKEA DEFINITION SIMPLE PAMOJA NA PICHA.NIMEOMBA MECHANISM YA MAGONJWA ULIYOYATAJA ,.ambayo umeyatoa KWENYE NON SCHOLARY WEBSITE YA FREEWIKIPEDIA.website ambayo inakaribisha kila mtu kuiedit,Inazungumzia jambo halafu chini inalikimbia,.kwa kutumia vimisemo au hujui maana ya hivyo vijimisemo ni nini?
BASI ni UWOGA WA KUDECLARE comflict of INTEREST ndio maana inaitwa non scholary.
SWALI HUJIBU SWALI BWANA, JIBU NILIYOKUULIZA KWANZA, ILI TUELEWANE WEWE NI MWALIMU ,picha ,definitions na mechanisms ya magonjwa uliyoyataja.NA NI VIPI UNATUTAJIA MISULI UNAYOIJUA BILA KUITAJA DIAFRAGM NA MCHANGO WAKE ?

NITAJUA WAPI PA KUANZIA KUDEAL NA WEWE.,.NAPENDA NA KUHESHIMU SANA WALIMU.,WAO WANAJUA MENGI,.sababu kubwa ya ujuzi na uelewa wao ,ni usikivu na umakini ,pia hujifunza kutoka kwa wenzao na kuhoji ili baadaye waweze kujibu maswali.,Na hawakejeli swali au maelezo ya swali NDIO MAANA HUTOA MARKS ambazo hujadiliwa

NAKUSUBIRI MWALIMU NGABU

Let's cut to the chase. Niwekee madhara na faida za kunyanyua vitu vizito kwenye mazoezi. Hayo mengine as far as I'm concerned they are academic (i.e. not of any practical importance). Weka madhara na faida ya weighlifting na uweke vyanzo vyako. Tuache maneno mengi.

Ngoja nikusaidie: http://www.bodybuildingforyou.com/articles-submit/ghf/top-10-reason-weight-lifting.htm

NB: Lol...ni diaphragm...na si diafram
 
Mkubwa hapo watu pia hukosea sana mimi ningeshauri mtu akimbie kwenye uwanja au vimilima kwa mfano dar pale UDSM kuna mazingira mazuri na moshi wa magari ni kidogo. Hii inasaidia kukata mafuta kwanza then ndio mtu afanye mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo. Ikumbukwe kwamba ukianza kukaza tumbo linaweza kubakia hapo hapo/likageuka msuli na kila siku unalalamika kitambi hakiishi.

Ni kweli, aerobic exercises are a great way to lose weight. Sikuiongeza tu hapo kwa sababu nilidhani jamaa anataka six pack tu. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba ktk ku-lose weight mambo ya spot reduction hakuna.

Ila unaposema tumbo linaweza kugeuka msuli ninakuwa sikuelewi! Tumbo hata kama lina mafuta kiasi gani msuli wake (abdominal muscle) utakuwepo tu. Misuli ndio nyama zenyewe aka skeletal muscle. Hakuna binadamu asiye na misuli. Najua hili pia watu wengi hawalijui. Wanadhania misuli ni tissue nyingine kabisa. La hasha. Jaribu kufanya utafiti uone misuli ni asilimia ngapi ya mwili wa binadamu. Neno misuli limeazimwa kutoka kwenye neno "muscle".

Labda huu mchoro utasaidia kidogo kuelewa

human-body-muscle-diagram.jpg


Na mwili wa binadamu una aina tatu za misuli. Kuna cardiac muscle - ambao ndio moyo. Yes, moyo wako huo unaodunda ni msuli pia. Kuna smooth muscle - mishipa ya damu, utumbo, na kibofu cha mkojo (urinary bladder?), na kuna skeletal muscle kama huo mchoro unavyoonesha. Skeletal muscle ni voluntary muscles. Unauwezo wa kui-control unavyotaka na ina comprise asilimia kubwa ya mwili wa binadamu. hizi ndio nyama zenyewe hizi.
 
Naona Nyani amejitahidi kumjibu mtoa mada kwa ufahamu wangu mdogo. Kufanya mazoezi kunahusisha misuli ya aina tofauti kulingana na hitaji la mtu. Inategemea afya ya mhusika ie uzito wake(hasa kunyanyua vitu vizito), ulaji wa vyakula, unywaji wa vinywaji mbalimbali nk inategemea na dozi ya zoezi lenyewe. Sijaona aliyepata madhara, ila faida zake ni pamoja kuongezamsukumo wa damu mwilini, ufanisi wa kiutendaji wa kazi za seli, hivyo kuboresha mifumo mbalimbali ya mwili, kuongeza kinga ya mwili hivyo kunapunguza uwezekano wa kuugua mara kwa mara. Kuongeza muda wa kuishi nk.
 
wana train eneo moja tu la kifua madhara yake ni kwamba mtu anakuwa na umbile kama la gitaa
Nguli bana, nimecheka sana maana kuna siku nilikuwa naangalia kipindi cha Uswazi EATV jamaa Musa akawa ametembele Gym moja ilikuwa kichekesho
 
Mkuu Ngabu kuna Dakatari aliniambia kwamba kwa Wanyanyua Vitu vizito wana hatari ya Kutokwa na Nyama ya Anus ( Mku**) kwa maana wanaponyanyua vyuma vizito hewa inatokea makalioni na kusababisha Nyama ( Nadhani sijui Utumbo mkubwa) kutokea kunako tigo. Hii Dhana wewe unaionaje maana nilianza mazoezi ya Kunyanyua Vitu vizito Daktari akanipa hilo angalizo nikaamua kuacha
ni kweli hata kuna mnyanyua vitu vizito amewahi kutokwa na nyama akijikamua kubeba uzani mzito kupita kiasi
na ushahi miaka ya 2003 ilikwepo katika www.rotten.com sasa sina uhakika kama bado taarifa zake zi[po hata sasa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom