Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
Siku hizi kumekuwa kuna tabia ya mtu ukitoka nje ukimuambia mtu kitu hata kama ni cha ukweli yeye ananga'ng'ania kubisha na kukuita mbeba box
unakuta unamuambia mtu kutokana na wewe umeona upande mwingine wa dunia lakini hataki kukusikiliza sio kama yeye anahoja hapana bali ni kutaka kukuletea zarau...
Na wengi wanakua wanaongea kwa chuki sana huku wakikuita mmbeba box
cha kujiuliza kwa nini kumekuwa na chuki kati ya wabeba mabox(watz wa nje) na wala vumbi(watz walioko tz)????
unakuta unamuambia mtu kutokana na wewe umeona upande mwingine wa dunia lakini hataki kukusikiliza sio kama yeye anahoja hapana bali ni kutaka kukuletea zarau...
Na wengi wanakua wanaongea kwa chuki sana huku wakikuita mmbeba box
cha kujiuliza kwa nini kumekuwa na chuki kati ya wabeba mabox(watz wa nje) na wala vumbi(watz walioko tz)????