Dunia imekwisha jamani
FL1, hivi vitu vipo na msibishe....
Kuna jamaa wawili nawafahamu, prominent people, watulivu sana ukiwaona kwa nje, lakini wanatembea na binti zao... mmoja wa hawa amezaa na binti yake... so msibishe... ni ugonjwa
FL1, hivi vitu vipo na msibishe....
Kuna jamaa wawili nawafahamu, prominent people, watulivu sana ukiwaona kwa nje, lakini wanatembea na binti zao... mmoja wa hawa amezaa na binti yake... so msibishe... ni ugonjwa
ndg iza inaweza kuwa ni joke lakini niliwahi kumuuliza jamaa akajibu akasema dawa ni ndogo-if you are very hand some don't get married to a very beautiful laddy(miss Tz standard) and vice versa. Ambao hamjaoa you loose nothing kwenye hili -AU?:embarrassed1:Hivi inakuaje mpaka unamtamani mwanao..tamaa za mali za harakaharaka zinatupelekea shimoni...
Mimi hizi habari hadi leo hii huwa nasikia tu na kusoma kwenye hadithi za kina Shigongo. Hakuna hata mtu mmoja ninayemfahamu anafanya vitendo hivi......kwa hiyo nadhani ni udaku zaidi kuliko hali halisi.................Nawakilisha
kuna binti udsm niliambiwa anatembea na babake
mbaya zaidi wanasema mzee anaugua ukimwi na binti
anaweweseka..........
nilishindwa pata picha............
Binti alishakufa...mama naye kafa....Baba kwa sasa yuko keko ana kesi ya mambo ya maghorofa fulani ya umma....ila inadaiwa serikali imemtuliza kutokana na mradi wake wa kueneza ukimwi kwa makusudi kwa mabinti zetu wenye kiherehere na magari ya rangi maroon aliyokuwa anawapa
binafsi huwa najiuliza is it possible?
au watu wanazusha???????
Hivi inakuaje mpaka unamtamani mwanao..tamaa za mali za harakaharaka zinatupelekea shimoni...
Maugonjwa mengine sasa sijui hata yanahitaji tiba gani. sipati picha sleeping with dad! sijui tutakuwa tunaongea nini "on bed"
Kibaya zaidi sasa hivi kuna tabia mbaya zaidi - baba na watoto wa kiume! Ipo case moja ya uhakika- baba alimzoesha mwanae wa kiume toka akiwa mdogo sana na hata alipokuwa na kuwa na akili, alimwambia kuwa " baba na watoto wa kiume huwa na special secrets ambazo mama na mtu mwingine hapaswi kujua.Kadhalika mama na mabinti nao huwa na siri vile vile" -na baba alimpenda sana mwanawe huyu na kuwa na mazoea ya kumpa zawadi za gharama kubwa sana.Mtoto wa kiume akawa amemwamini baba kuwa ndivyo ilivyo hadi siku baba kasafiri na mtoto hataki kwenda shule kisa anam miss baba! Alipodadisiwa zaidi akasema ana miss special secrets na baba yake!... anyway dunia imeharibika sana, ukiongea na watu wenye kufanya counselling utasikia maajabu zaidi ya haya.
hivi hii habari ya baadhi ya wazazi wa kiume
kutembea na mabinti zao ikoje?
hivi ni kweli siku hizi imeenea sana au
ni hisia tu....
maaana siku hizi kila mahali unasikia habar hizo....
nini hasa chanzo?
kuna makabila nasikia ndio yanasifika sana....
kuna mtu hapa jf alie wahi thibitisha habari hizo
au porojo za watu tu???????????????
Mimi hizi habari hadi leo hii huwa nasikia tu na kusoma kwenye hadithi za kina Shigongo. Hakuna hata mtu mmoja ninayemfahamu anafanya vitendo hivi......kwa hiyo nadhani ni udaku zaidi kuliko hali halisi.................Nawakilisha
Kama hujakutana nayo pole ila yapo wakati nasoma high school pale Bwiru nilisoma na msichana alikuwa anapendwa sana na baba yake mpaka ikawa uzushi kuwa anatembea naye na iligundulika ni kweli maana walifumwa beach kwenye mawe wakivunja amri ya sita baba alikuja kumtembelea shuleMimi hizi habari hadi leo hii huwa nasikia tu na kusoma kwenye hadithi za kina Shigongo. Hakuna hata mtu mmoja ninayemfahamu anafanya vitendo hivi......kwa hiyo nadhani ni udaku zaidi kuliko hali halisi.................Nawakilisha