Mtoa mada eti nae ni great thinker!! Nadhani kuna tatizo humu ndani
Gunyio
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa............................
natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga............................... ???
Kama siku tano!!!!!!! Inaonekana hujawahi kutembea na kama umetembea labda hujawahi kufanya hivyo kikazi. Na huo muda wa kama siku tano mbona ni mfupi sana kuweza kuelewa mji na taratibu zake? Hao wachaga wa Moshi walichokifanya si cha ajabu sana kama ungefanya research ya kutosha hapo Iringa. Najua utakua unazungumzia biashara za double road, soko la kati, stand kuu nk za Moshi. Mbona Panjuan, Elghadeer na jamii zake wa double road hamjawafukuza??? Kwanza wewe ni mchaga wa sehemu gani huku Moshi (Kishumundu nini) maana unaonekana ni mshamba wa kusafiri??? maana utasikia naenda Moshi kumbe mtu anaishia Mwanga.
You are not thinking great unashangaashangaa tu, wamefanya vizuri kukupa hako katrip, wenye mazoea ya kusafiri kikazi hawako hivyo. Angalia usije ukashindwa kutekeleza yaliyokupeleka siku nyingine ukakosa visafari.
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????
tatizo la mji wa Iringa ni kwamba shughuli nyingi za kiofisi zipo hapo mjini, ambapo tuna weza kusema ni old town, na mzunguko mkubwa wa pesa haupo hapo mjini , sasa na historically old towns nyingi walikuwepo waarabu na wahindi, kama ilivyo kariakoo, na asili ya mwaafrika hata elites hawapendi kuka sehemu za biashara na asili yetu haikuwa biashara, hivyo wenyeji wengi walipenda kujenga sehemu za makazi ya watu ambapo hakuna biashara kama ilivyo o'bay ya dsm, na wafanya biashara wakubwa wa iringa ni wakinga sasa kazi ya kumtoa mtu aliye aanza biashara siku nyingi si ya siku moja na opportunity sio hapo mjini tu hata kariakoo kwenda njombe, ruvuma, mbeya n.k zipo ,kwa wahehe wao ilikuwa ni shule na kufanya kazi za kuajiriwa , lakini hali siku hizi ina badilika kwani mtz wa jana si wa leo, endelea kukuwa na kujifunza kwanini mkishimundu alikuwa/ana dharaulika na leo yupo je? ingawa kiasili bado haeshimiki.Aisee nimeshangaa sana na maisha ya watu wa hapa Iringa,tumekuja hapa kikazi tuna kama siku tano sasa,yaani tumegundua wenyeji wa mji huu wa Iringa wameshikwa pabaya na waarabu,inakuwa kama wana waabudu waarabu halafu waarubu kibao mji huu,yaani mwarabu akiongea kitu kidogo mhehe anakimbia hasa.
Mwarabu akipita na gari utasikia jamaa wanabishana hhii gari ni ya Fm au sijui nani, yaani kwa ujumla wahehe hamna kitu, natamani wangeenda moshi waone jinsi wachaga walivyotimua wahindi,kinachoshangaza zaidi inakuwaje Iringa iwe na wanasiasa na viongozi maaraufu lakini watu wao wawe wajinga kiasi hiki????